Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,

      Wote wanaokuacha wataaibishwa.

      Wale wanaokuasi* wataandikwa mavumbini,+

      Kwa sababu wamemwacha Yehova, chanzo cha maji yaliyo hai.+

  • Ezekieli 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Kisha akanirudisha kwenye mlango wa hekalu,+ na hapo nikaona maji yakitiririka kuelekea mashariki kutoka chini ya kizingiti cha hekalu,+ kwa maana upande wa mbele wa hekalu ulitazama mashariki. Maji hayo yalikuwa yakitiririka kutoka chini upande wa kulia wa hekalu, upande wa kusini wa madhabahu.

  • Yoeli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo milima itadondosha divai tamu,+

      Vilima vitatiririka maziwa,

      Na vijito vyote vya Yuda vitatiririka maji.

      Kutoka katika nyumba ya Yehova kijito kitatiririka,+

      Nacho kitanywesha Bonde la* Miti ya Mishita.

  • Ufunuo 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki