Mathayo 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Akaona mtini kando ya barabara, akaukaribia lakini hakupata chochote ila majani tu,+ akauambia: “Usizae matunda tena kamwe.”+ Mara moja ule mtini ukanyauka. Marko 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini walipokuwa wakipita asubuhi na mapema, wakaona ule mtini ukiwa umenyauka kuanzia kwenye mizizi.+
19 Akaona mtini kando ya barabara, akaukaribia lakini hakupata chochote ila majani tu,+ akauambia: “Usizae matunda tena kamwe.”+ Mara moja ule mtini ukanyauka.
20 Lakini walipokuwa wakipita asubuhi na mapema, wakaona ule mtini ukiwa umenyauka kuanzia kwenye mizizi.+