Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+

  • Yohana 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwanakondoo+ wa Mungu ambaye huondoa dhambi+ ya ulimwengu!+

  • 1 Timotheo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Maneno haya ni yenye kuaminika na yanastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda dhambi.+ Kati yao, mimi ndiye wa kwanza kabisa.+

  • 1 Yohana 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Isitoshe, sisi wenyewe tumemwona na tunatoa ushahidi kwamba Baba amemtuma Mwana wake kuwa mwokozi wa ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki