Kuanzia siku hiyo kutaniko lililokuwa Yerusalemu likaanza kuteswa sana; wanafunzi wote isipokuwa mitume wakatawanyika kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.+
20 na damu ya Stefano shahidi wako ilipokuwa ikimwagwa, nilikuwa nimesimama kando na kukubaliana na jambo hilo nikiyalinda mavazi ya nje ya wale waliokuwa wakimuua.’+