Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 7:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Baada ya kumtupa nje ya jiji, wakaanza kumpiga mawe.+ Wale mashahidi+ wakaweka mavazi yao ya nje miguuni pa kijana aliyeitwa Sauli.+

  • Matendo 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye Sauli aliunga mkono kuuawa kwa Stefano.+

      Kuanzia siku hiyo kutaniko lililokuwa Yerusalemu likaanza kuteswa sana; wanafunzi wote isipokuwa mitume wakatawanyika kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.+

  • 1 Timotheo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ingawa zamani nilikuwa mkufuru na mtesaji na mtu mwenye dharau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema, kwa sababu nilitenda bila ujuzi na sikuwa na imani.

  • 1 Timotheo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Maneno haya ni yenye kuaminika na yanastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda dhambi.+ Kati yao, mimi ndiye wa kwanza kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki