1 Wakorintho 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kutahiriwa hakuna maana, wala kutotahiriwa hakuna maana;+ lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+ Wagalatia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tena ninatoa ushahidi kwa kila mtu anayetahiriwa kwamba yuko chini ya wajibu wa kuitimiza Sheria yote.+
19 Kutahiriwa hakuna maana, wala kutotahiriwa hakuna maana;+ lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+
3 Tena ninatoa ushahidi kwa kila mtu anayetahiriwa kwamba yuko chini ya wajibu wa kuitimiza Sheria yote.+