Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+ Yeremia 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini niliwaamuru hivi: “Tiini sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.+ Ni lazima mtembee katika njia yote ninayowaamuru, ili mambo yawaendee vema.”’+ Waroma 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa kweli, kutahiriwa+ kuna faida ikiwa tu umezoea kuifuata sheria;+ lakini ikiwa wewe huvunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutotahiriwa. Wagalatia 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana katika muungano na Kristo Yesu, kutahiriwa au kutotahiriwa hakuna faida yoyote,+ bali imani inayotenda kupitia upendo ina faida. 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+
23 Lakini niliwaamuru hivi: “Tiini sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.+ Ni lazima mtembee katika njia yote ninayowaamuru, ili mambo yawaendee vema.”’+
25 Kwa kweli, kutahiriwa+ kuna faida ikiwa tu umezoea kuifuata sheria;+ lakini ikiwa wewe huvunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutotahiriwa.
6 Kwa maana katika muungano na Kristo Yesu, kutahiriwa au kutotahiriwa hakuna faida yoyote,+ bali imani inayotenda kupitia upendo ina faida.
3 Kwa maana kumpenda Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+