Methali 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea kwa usalama,+Lakini anayepotosha njia zake atajulikana.+ 2 Wakorintho 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana si yule anayejipendekeza ambaye hukubaliwa,+ bali ni yule ambaye Yehova* humpendekeza.+ 1 Timotheo 5:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dhambi za watu fulani hujulikana hadharani, na hivyo wanahukumiwa moja kwa moja, lakini dhambi za watu wengine hujulikana baadaye.+ 25 Vivyo hivyo, matendo mema hujulikana hadharani+ na hata yale yasiyojulikana hayawezi kuendelea kufichwa.+
24 Dhambi za watu fulani hujulikana hadharani, na hivyo wanahukumiwa moja kwa moja, lakini dhambi za watu wengine hujulikana baadaye.+ 25 Vivyo hivyo, matendo mema hujulikana hadharani+ na hata yale yasiyojulikana hayawezi kuendelea kufichwa.+