Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 1:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima, nami nitaikataa* akili ya watu wenye akili.”+ 20 Yuko wapi mtu mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi?* Yuko wapi anayebishania maneno katika mfumo huu wa mambo?* Je, Mungu hakuifanya hekima ya ulimwengu iwe upumbavu?

  • 1 Wakorintho 3:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu, kwa kuwa imeandikwa: “Yeye huwanasa wenye hekima katika ujanja wao wenyewe.”+ 20 Na tena: “Yehova* anajua kwamba kufikiri kwa watu wenye hekima ni ubatili.”+

  • 2 Timotheo 2:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana, bali anahitaji kuwa mpole* kwa wote,+ mwenye uwezo wa kufundisha, anayejizuia anapokosewa,+ 25 akiwafundisha kwa upole wale wasio na mwelekeo unaofaa.+ Huenda Mungu akawasaidia kutubu* na kupata ujuzi sahihi wa kweli,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki