Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu la upole* hutuliza hasira,+

      Lakini neno kali* huchochea hasira.+

  • Wagalatia 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akina ndugu, hata mtu akichukua hatua isiyofaa kabla hajajua, ninyi mlio na sifa za kustahili kiroho jaribuni kumrekebisha upya mtu huyo kwa roho ya upole.+ Lakini kila mmoja wenu aendelee kujiangalia,+ kwa kuwa ninyi pia mnaweza kujaribiwa.+

  • Tito 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wasiseme vibaya kumhusu yeyote, wasiwe wagomvi, bali wawe na usawaziko,+ wakionyesha upole wote kwa watu wote.+

  • 1 Petro 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana katika mioyo yenu, sikuzote mkiwa tayari kujitetea mbele ya kila mtu anayewauliza sababu ya tumaini mlilo nalo, lakini mkifanya hivyo kwa upole+ na heshima kubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki