Luka 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkivumilia, mtauokoa uhai wenu.*+ Waroma 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Si hilo tu, bali na tushangilie* tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+
3 Si hilo tu, bali na tushangilie* tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+