14 Endelea kuwakumbusha mambo haya, ukiwaagiza* mbele za Mungu wasipigane kuhusu maneno, jambo hilo halina faida kabisa kwa sababu linawadhuru* wale wanaosikiliza.
9 Lakini epuka mabishano ya kipumbavu na kubishana kuhusu ukoo na mizozo na mapambano kuhusu Sheria, kwa maana mambo hayo hayana faida na ni ya ubatili.+