Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Timotheo 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Endelea kuwakumbusha mambo haya, ukiwaagiza* mbele za Mungu wasipigane kuhusu maneno, jambo hilo halina faida kabisa kwa sababu linawadhuru* wale wanaosikiliza.

  • Tito 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kuna watu wengi waasi, wanaoongea maneno yasiyo na faida, na wadanganyifu, hasa wale wanaoshikamana na tohara.+

  • Tito 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini epuka mabishano ya kipumbavu na kubishana kuhusu ukoo na mizozo na mapambano kuhusu Sheria, kwa maana mambo hayo hayana faida na ni ya ubatili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki