Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 8:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta yake. Kukawa na mvua ya mawe na moto uliochanganyika na damu, nao ukatupwa duniani;+ na theluthi moja ya dunia ikateketezwa, na theluthi moja ya miti ikateketezwa, na mimea yote mibichi ikateketezwa.+

      8 Malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake. Na kitu fulani kama mlima mkubwa unaowaka moto kikatupwa ndani ya bahari.+ Na theluthi moja ya bahari ikawa damu;+

  • Ufunuo 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa inayowaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni, ikaanguka juu ya theluthi moja ya mito na juu ya chemchemi za maji.*+

  • Ufunuo 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Malaika wa nne akaipiga tarumbeta yake. Na theluthi moja ya jua ikapigwa,+ pia theluthi moja ya mwezi, na theluthi moja ya nyota, ili theluthi moja ya hizo itiwe giza+ na mchana usiwe na nuru kwa theluthi moja, na usiku vivyo hivyo.

  • Ufunuo 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake.+ Nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka kutoka mbinguni mpaka duniani, naye akapewa ufunguo wa shimo refu lisilo na mwisho.*+

  • Ufunuo 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Malaika wa sita+ akaipiga tarumbeta yake.+ Nami nikasikia sauti moja kutoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu+ iliyo mbele za Mungu

  • Ufunuo 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikika mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki