-
Ufunuo 8:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta yake. Kukawa na mvua ya mawe na moto uliochanganyika na damu, nao ukatupwa duniani;+ na theluthi moja ya dunia ikateketezwa, na theluthi moja ya miti ikateketezwa, na mimea yote mibichi ikateketezwa.+
8 Malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake. Na kitu fulani kama mlima mkubwa unaowaka moto kikatupwa ndani ya bahari.+ Na theluthi moja ya bahari ikawa damu;+
-