Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g95 8/22 uku. 2
  • Ukurasa wa Pili

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ukurasa wa Pili
  • Amkeni!—1995
  • Vichwa vidogo
  • Lile Teketezo la Umati—Ni Nani Waliosema kwa Ujasiri?
  • Nidhamu Imekuwa Wokovu Wangu 19
  • Msiba wa Ghafula wa Japani—Jinsi Watu Walivyoukabili 22
Amkeni!—1995
g95 8/22 uku. 2

Ukurasa wa Pili

Lile Teketezo la Umati—Ni Nani Waliosema kwa Ujasiri?

Sherehe ya Kuadhimisha Mwaka wa 50 wa Kuziweka Huru Kambi 3-15

Miaka 50 iliyopita wale walioweka huru kambi za mateso za Nazi walipatwa na ogofyo kwa kile walichoona. Sauti moja ilikuwa imekuwa ikitangaza ukatili wa Nazi kwa miaka mingi. Lakini ni nani walioshindwa kusema kwa ujasiri? Kwa nini walikuwa kimya? Makala hizi zatia ndani habari iliyotolewa kwenye semina iliyofanywa katika Jumba la Kuhifadhia Vitu vya Kale vya Teketezo la Umati, Washington, D.C., Marekani.

Nidhamu Imekuwa Wokovu Wangu 19

Jifunze jinsi maisha ya mapema ya nidhamu ya mwanamke fulani yalimsaidia kushinda matatizo magumu.

Msiba wa Ghafula wa Japani—Jinsi Watu Walivyoukabili 22

Zaidi ya watu 5,000 walikufa katika tetemeko la dunia la Kobe lenye maafa. Mashahidi wa Yehova walikabilije hali huko? Je, tunapasa kushangazwa na matetemeko ya dunia yenye kutokeza uharibifu?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki