Ukurasa wa Pili
Uhuru Wako wa Kidini—Je, Unatishwa? 3-13
Katika miaka ya hivi majuzi nchi kadhaa zimechukua hatua dhidi ya “mafarakano” na “madhehebu.” Lakini farakano au dhehebu ni nini? Vipi juu ya uhuru wa ibada? Je, unaruhusiwa tu kwa dini “kubwakubwa”?
Mediterania—Bahari Inayozingirwa Isiyo na Ulinzi 14
Bahari ya bara iliyo kubwa zaidi ulimwenguni na mahali wanapokutania mamilioni ya watalii inakuwa mahali pa maji machafu palipozungukwa na nchi kavu. Ni nini linalofanywa ili kuzuia msiba mkubwa?
Magumu na Baraka za Kulea Wana Saba 18
Bert na Margaret walilea wana saba katika miaka ya 1940 na 1950. Haikuwa rahisi kuishi kulingana na kanuni za Biblia sikuzote. Lakini simulizi lao linatia moyo.