Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w77 12/15 kur. 575-576
  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1977

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1977
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAFUNZO YA KITABU
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • MWENYE HEKIMA ALIKUWA NA MAANA GANI?
  • YEHOVA MUNGU
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
w77 12/15 kur. 575-576

Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1977

BIBLIA

Inasaidia Kuendeleza Umoja wa Jamaa 1/1 21

Kuitafsiri Kulikuwa Hatari 3/15 123

Kujifunza Kuishi Kulingana Nayo 4/1 156

MAFUNZO YA KITABU

Kutoka Katika Taabu ya Ulimwengu Kuingia Katika “Nchi Mpya” Yenye Amani 2/1 53

Tutakuwa Upande wa Nani Taabu ya Ulimwengu Ifikiapo Upeo? 1/1 3

Uharibifu Katika Har–​Magedoni wa Wapenzi wa Babeli Mkuu Waliojitenga 1/15 44

‘‘Wakuu Katika Nchi Zote” 2/15 76

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Baraka za Kutolipa Kisasi 12/1

Fadhili Zionyeshwe Kadiri Gani? 12/1

Inafaa Watu wo Wote Wawe Rafiki Zako? 9/1 402

Kujiweza Kunalinda na Msiba 4/15 171

Kukunjulia Wenye Shida Mkono 4/1 149

‘Kula na Kunywa kwa Utukufu wa Mungu’ 3/15 128

Kutosheka 9/1 393

Kutosheka Ni Mradi Unaofaa 1/1 22

Kuvumilia Matendo Mabaya Kwaleta Utukufu 4/1 162

“Kuwa Tayari kwa Kila Kazi Njema” 3/1 115

Kuwa Wenye Huruma Sana 1/15 28

Kwa Sababu Gani Uzuie Ulimi? 8/15 363

“Mpendane Ninyi kwa Ninyi” 9/15 425

Mwenendo Mwema Watoa Ushuhuda 1/15 48

Mwenendo Mwema Waunganisha Jamaa 5/15 237

Saburi Huthawabisha Sana 4/1 164

Shauri​—⁠Utafaidika Nalo? 2/1 66

Sifa ya Kupendeza ya Wema 3/1 105

Ufunike Kichwa Wakati wa Kusali? 9/1 404

Urafiki wa Kweli Una Nguvu 3/1 120

Usiamue kwa Kutazama Sura 3/15 141

Usimdharau Maskini 12/1

Utaepuka Kujitakia Makuu? 7/15 332

Utii Una Ubora Gani? 11/15

Wakristo wa Kweli Hawawezi Kuwa Waoga 2/15 75

Wauthaminije Uhai Wako? 10/1 440

Wewe Una Nia ya Kupatwa na Magumu 3/1 113

Wewe Una Nia ya Kusikiliza? 9/15 417

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

“Bwana Awe na Roho Unayoonyesha” 11/15

‘Habari Njema Zenye Utukufu’ 4/1 152

Endelea Kumtumaini Yehova Uipate Thawabu 12/15

Endelea Kusubiri 7/1 303

Ibada ya Kweli Ni Njia ya Maisha Yenye Kufaulu 4/15 178

Ibada ya Yehova Ndiyo Kweli 4/15 173

Ili Upate Uzima wa Milele Ulioahidiwa, Onyesha Imani! 515 232

Imani Inayoongoza Kwenye Wokovu 10/15 468

Iweni Wanafunzi wa Kweli wa Kristo 12/1

Jinsi Wakaripiaji Wenye Hekima Wanavyosaidia Wenye Kukosa 5/1 199

Kuendelea Kuheshimu Ndoa Mbele za Mungu na Wanadamu 8/15 374

’Kuendelea Kulishika Sana Neno la Uzima’ 11/15

‘Kufungwa Viuno’ kwa Ajili ya Kazi Iliyoko Mbele 6/1

Kuikabili “Dhiki Kubwa” kwa Uhakika 6/15 267

Kukaripia “Mbele ya Watazamaji Wote” 5/1 207

Kukaripia Watu Wanaozoea Dhambi 5/1 203

Kuna Faida za Kukaa Bila Kuoa au Kuolewa 9/15 411

Kuona Ubora wa Hazina ya Utumishi Mtakatifu 2/15 82

Kutangaza Habari Njema Katika Dunia Yote 4/1 157

Kutoa Utumishi Mtakatifu Usiku na Mchana 2/15 87

Kutumikia Pamoja na “Mtumwa” Mwaminifu 6/1 246

Kuzoeza Dhamiri Zetu Zitusaidie Zaidi 1/15 39

“Mkafanye Wanafunzi . . . Kuwafundisha” 9/15 420

‘Mlango Unaoongoza Kwenye Utendaji Wafunguka’ 11/1 483

Mshukuru Yehova kwa Ajili ya Fadhili Zake za Upendo 7/15 321

“Mti” Ambao Anguko Lake Lashtua Ulimwengu 10/1 442

Mtumaini Yehova, Si Mwanadamu 12/15 557

Ndoa Ni Mpango Unaoheshimiwa Katika Neno la Mungu 8/15 370

Ongeza Uhakika Sasa juu ya Wakati Ujao 6/15 272

Onyesha kwa Matendo Kwamba Wewe Ni Shahidi wa “Habari Njema” 12/1

Roho Takatifu Yafanya Kazi 3/15 130

Saidieni Vijana ‘Wawe Vielelezo kwa Waaminifu’ 1/15 30

Sifa Zinazofaa Zinahitajiwa Ili Kuhukumu 8/1 352

“Sinagogi la Mahuru” 9/1 408

Siri ya Kupata Maisha Yenye Furaha ya Jamaa 3/1 99

Toka Chini ya Mti Huo “Mzuri”! 10/1 447

Ubatizo Ni Mwanzo Tu 1/1 17

Ubora Uliojaribiwa wa Imani Waleta Uvumilivu 2/1 57

Usalama Wako Ni Nini? 9/1 398 Usiogope 1/1 12

Utapigaje Asante kwa Ajili ya Fadhili Zake za Upendo’ 7/15 325

Utendaji wa Roho Iliyomwagwa Kutoka Juu 3/15 135

“Uvumilivu na Uwe na Kazi Yake Kamilifu” 2/1 62

Vijana Wanataka Nini Maishani? 3/1 107

Vumilieni Tu​—Ahadi Yakaribia Kutimizwa! 5/15 222

Wakati wa Taabu Duniani Pote​—Sababu Gani, na Wakati Gani? 10/15 464

Watendaji wa Mapenzi ya Mungu Watimiziwa Ahadi 5/15 228

Wazee wa Kundi​—‘Simamieni Vizuri!’ 8/1 356

Wewe Unathamini Vile Mungu Anavyokusubiri? 7/1 299

Wewe Unaweza Kupataje Usalama wa Kweli? 9/1 394

Wewe Unaweza Kuuingia Mlango Uliofunguka? 11/1 487

Yehova​—Msaidiaji Mkuu Asiye na Kifani 1/1 6

MAMBO MENGINE

Aleksanda Mkuu na Mifano ya Biblia 12/15 572

Asili ya Krismasi 6/15 287

Dunia Isiyo na Maumivu 9/15 415

‘Hekima Ni Mti wa Uzima’ 1/1 16

Je! 1 Yohana 5:7, 8 Inahakikisha Kuna Utatu? 3/1 112

“Kati ya Bonde la Uvuli wa Mauti” 6/15 271

Kuhukumu kwa Haki, Hekima na Rehema 8/1 350

‘Kuja Chini ya Kivuli’ 4/1 151

Kujizuia kwa Wanawake Wasiingiliwe 8/15 369

Kumhubiri Kristo​—kwa Wivu au Nia Njema? 4/15 186

‘Kuvuta Uovu kwa Kamba’ 1/15 47

“Kuwa Unapopaswa Kuwa” 5/1 198

Kwa Sababu Gani Watu Hawawezi Kusamehewa Dhambi Nyingine? 3/1 117

Maanguko Makubwa Zaidi 6/1 260

Manabii Walikuwa na Kazi Gani? 10/15 473

Msingi wa Kumwamini Mungu 10/15 459

‘Mwisho wa Ukamilifu’ 6/15 286

Ni Nani Anayestahili Kuombolezewa? 11/1 492

Ni Nani Mtumwa Mwaminifu Mwenye Akili’? 1/15 48

“Pango la Wanyang’anyi” 11/15

Roho Takatifu Ni Nafsi Kweli? 4/1 166

Sababu Gani Hua? 1/1 23

Sababu Mtu wa Kiroho “Hatambuliwi na Mtu” 7/1 295

Sala Zako Zina Ubora Gani? 4/15 183

Sanamu Inaweza Kuleta Amani na Usalama? 12/1

‘Thabiti Mpaka Mwisho’ 10/1 456

“Theluji Wakati wa Mavuno” 2/15 86

Tiro Ulikuwa Mji Wenye Hila 9/15 431

Unaweza Kugeukia Wapi Ukiwa na Matumaini? 4/1 147

Unafanya Nini Sasa Ujitayarishe? 1/15 47

Utakatifu wa Mungu Unatukuzwa na Mambo ya Walawi 12/15 568

‘Wakati Ambao Nchi Iligawanyika’ 11/15

“Watchtower Movement” au Kitawala 2/1 68

Wewe Ni Mbaya Mno Kiasi cha Kutosamehewa na Mungu? 3/15 125

Yerusalemu Siku za Mitume 6/1 243

MASHAHIDI WA YEHOVA

Furaha ya Kutimiziwa Mahitaji ya Kiroho 7/1 291

Furaha ya Mataifa Yote Afrika Kusini 6/1 259

Jitihada za Ushujaa Zaendelea Angola 5/15 219 Liberia 6/15

Msimamizi Mpya Achaguliwa 10/1 456

Nuru ya Kweli Yaangaza Afrika Mashariki 2/15 92

Sababu Gani Wanapendezwa Nawe? 1/15 27

Utendaji wa Ufalme Waanza Angola 5/1 212

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

Chemchemi ya Ukweli Katika Jangwa 8/1 345

Ilifaa Nijitahidi Kushinda Watu Wote? 8/1 339

‘Kama Miche ya Mizeituni’ 8/15 365

Kilichonifurahisha 9/15 428

Kupata Mali Yenye Thamani Zaidi 10/15 476

Mtoto Mpotevu Arudi 12/1

Niliacha Kupiga Watu Barabarani 10/1 435

Nilipata Kimbilio la Kweli Nikiwa Mzee 7/1 296

Nilipata Uhuru Gerezani 7/15 320

Nimepooza​—Lakini Nafurahia Maisha 7/15 315

Sisi Hatukuahirisha Mambo 11/15

Tulidhani Taratibu Ingeweza Kubadilishwa 9/1 387

Tulipewa Mradi Maishani 10/15 477

Tulitanguliza Utumishi wa Mungu 8/15 382

Tumekuwa Wazazi Miaka Ishirini 11/1 496

Uwezo wa Neno la Mungu Katika Maisha Yangu 12/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

1 Wathesalonike 4:17 Ina Maana Gani? 4/15 191

Adamu Alikuwa na Ngozi Nyekundu? 7/1 311

Cheti cha Kukaa Nchini cha Mtu Anayekaribia Ubatizo

Kimemalizika. Nitamwambia Nini? 12/1

Ezekieli Angewezaje Kuwa na Wajibu wa Maisha za Watu Katika Yerusalemu? 5/15 237

Hapo Kwanza Mungu Alikusudia Mwanamke Amtii Mumewe? 7/15 335

Kuna Ushuhuda Gani “Kondoo Wengine” Ni Watakaoishi Duniani? 4/15 190

Kwa Sababu Gani New World Translation Haionyeshi Majina na Elimu ya Watafsiri? 3/15 143

Maiti za Wakristo Zihifadhiwe Zisioze? 9/1 407

Maoni ya Mashahidi juu ya Kuhudhuria Arusi ya Mtu wa Ulimwengu? 3/15 142

Mashahidi wa Yehova Wanamwamini Yesu? 2/15 96

Matendo 12:15 Ina Maana Gani? 7/15 335

Mathayo 10:9, 10 Inaweza Kupatanishwaje na Marko 6:8, 9? 7/15 336

Mkristo Aweza Kupandisha au Kushusha Bendera 6/15 288

Mtu Akiwa Hatarini, Ana Haki Kutoa Mimba? 3/1 119

Mungu Ndiye Hufanya Mabubu na Vipofu Nyakati Zote? 3/15 142

Mwenzi Asiyeamini Akijitenga na Mwamini, Huo Si Msingi wa Kuvunja Ndoa? 6/1 260

Ni Sawa Mkristo Kushika Biblia na Kuapa Kortini? 1/j 24

Pesa Zilizotolewa na Mjane Zilikuwa Kiasi Gani? 2/15 96

“Siku za Mwisho” Zilitimizwa juu ya Taratibu ya Kiyahudi? 1/1 24

Tunawezaje Kuhesabu Miaka 46 Inayotajwa na Yohana 2:20? 12/1

Ubatizo Unatiwa Katika ‘Utakatifu’ wa Mtoto Machoni pa Mungu? 2/1 72

Watoto wa Jamaa za Kikristo Wasome Miaka Mingapi? 6/1 261

Waume Huachia Wake Daraka la Kuzoeza Watoto. Biblia Yasemaje? 5/15 238

Yesu Alikuwa na Maana Gani Alipoambia Mitume Wengine Wao Wangemwona Akija Katika Ufalme Kabla Hawajafa? 11/1 503

Yesu Kristo Anajua Wakati “Dhiki Kubwa” Itakapoanza? 1/1 23 au 3/15 144

MWENYE HEKIMA ALIKUWA NA MAANA GANI?

(Inatokea katika matoleo mengi baada ya Oktoba 1, 1977.)

YEHOVA MUNGU

Anapenda Haki 11/15

Kumfikia Katika Sala 2/1 51

Sababu Gani Tumwamini? 12/15

Sababu Yeye Hukaripia 5/1 195

YESU KRISTO

Anyenyekea Kifalme 7/15 330

Kutazama Baadhi ya Miujiza Yake 7/1 307

Miujiza Aliyofanya Katika Mji Alimokaa 3/1 103

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki