Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1977
BIBLIA
Inasaidia Kuendeleza Umoja wa Jamaa 1/1 21
Kuitafsiri Kulikuwa Hatari 3/15 123
Kujifunza Kuishi Kulingana Nayo 4/1 156
MAFUNZO YA KITABU
Kutoka Katika Taabu ya Ulimwengu Kuingia Katika “Nchi Mpya” Yenye Amani 2/1 53
Tutakuwa Upande wa Nani Taabu ya Ulimwengu Ifikiapo Upeo? 1/1 3
Uharibifu Katika Har–Magedoni wa Wapenzi wa Babeli Mkuu Waliojitenga 1/15 44
‘‘Wakuu Katika Nchi Zote” 2/15 76
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Baraka za Kutolipa Kisasi 12/1
Fadhili Zionyeshwe Kadiri Gani? 12/1
Inafaa Watu wo Wote Wawe Rafiki Zako? 9/1 402
Kujiweza Kunalinda na Msiba 4/15 171
Kukunjulia Wenye Shida Mkono 4/1 149
‘Kula na Kunywa kwa Utukufu wa Mungu’ 3/15 128
Kutosheka 9/1 393
Kutosheka Ni Mradi Unaofaa 1/1 22
Kuvumilia Matendo Mabaya Kwaleta Utukufu 4/1 162
“Kuwa Tayari kwa Kila Kazi Njema” 3/1 115
Kuwa Wenye Huruma Sana 1/15 28
Kwa Sababu Gani Uzuie Ulimi? 8/15 363
“Mpendane Ninyi kwa Ninyi” 9/15 425
Mwenendo Mwema Watoa Ushuhuda 1/15 48
Mwenendo Mwema Waunganisha Jamaa 5/15 237
Saburi Huthawabisha Sana 4/1 164
Shauri—Utafaidika Nalo? 2/1 66
Sifa ya Kupendeza ya Wema 3/1 105
Ufunike Kichwa Wakati wa Kusali? 9/1 404
Urafiki wa Kweli Una Nguvu 3/1 120
Usiamue kwa Kutazama Sura 3/15 141
Usimdharau Maskini 12/1
Utaepuka Kujitakia Makuu? 7/15 332
Utii Una Ubora Gani? 11/15
Wakristo wa Kweli Hawawezi Kuwa Waoga 2/15 75
Wauthaminije Uhai Wako? 10/1 440
Wewe Una Nia ya Kupatwa na Magumu 3/1 113
Wewe Una Nia ya Kusikiliza? 9/15 417
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
“Bwana Awe na Roho Unayoonyesha” 11/15
‘Habari Njema Zenye Utukufu’ 4/1 152
Endelea Kumtumaini Yehova Uipate Thawabu 12/15
Endelea Kusubiri 7/1 303
Ibada ya Kweli Ni Njia ya Maisha Yenye Kufaulu 4/15 178
Ibada ya Yehova Ndiyo Kweli 4/15 173
Ili Upate Uzima wa Milele Ulioahidiwa, Onyesha Imani! 515 232
Imani Inayoongoza Kwenye Wokovu 10/15 468
Iweni Wanafunzi wa Kweli wa Kristo 12/1
Jinsi Wakaripiaji Wenye Hekima Wanavyosaidia Wenye Kukosa 5/1 199
Kuendelea Kuheshimu Ndoa Mbele za Mungu na Wanadamu 8/15 374
’Kuendelea Kulishika Sana Neno la Uzima’ 11/15
‘Kufungwa Viuno’ kwa Ajili ya Kazi Iliyoko Mbele 6/1
Kuikabili “Dhiki Kubwa” kwa Uhakika 6/15 267
Kukaripia “Mbele ya Watazamaji Wote” 5/1 207
Kukaripia Watu Wanaozoea Dhambi 5/1 203
Kuna Faida za Kukaa Bila Kuoa au Kuolewa 9/15 411
Kuona Ubora wa Hazina ya Utumishi Mtakatifu 2/15 82
Kutangaza Habari Njema Katika Dunia Yote 4/1 157
Kutoa Utumishi Mtakatifu Usiku na Mchana 2/15 87
Kutumikia Pamoja na “Mtumwa” Mwaminifu 6/1 246
Kuzoeza Dhamiri Zetu Zitusaidie Zaidi 1/15 39
“Mkafanye Wanafunzi . . . Kuwafundisha” 9/15 420
‘Mlango Unaoongoza Kwenye Utendaji Wafunguka’ 11/1 483
Mshukuru Yehova kwa Ajili ya Fadhili Zake za Upendo 7/15 321
“Mti” Ambao Anguko Lake Lashtua Ulimwengu 10/1 442
Mtumaini Yehova, Si Mwanadamu 12/15 557
Ndoa Ni Mpango Unaoheshimiwa Katika Neno la Mungu 8/15 370
Ongeza Uhakika Sasa juu ya Wakati Ujao 6/15 272
Onyesha kwa Matendo Kwamba Wewe Ni Shahidi wa “Habari Njema” 12/1
Roho Takatifu Yafanya Kazi 3/15 130
Saidieni Vijana ‘Wawe Vielelezo kwa Waaminifu’ 1/15 30
Sifa Zinazofaa Zinahitajiwa Ili Kuhukumu 8/1 352
“Sinagogi la Mahuru” 9/1 408
Siri ya Kupata Maisha Yenye Furaha ya Jamaa 3/1 99
Toka Chini ya Mti Huo “Mzuri”! 10/1 447
Ubatizo Ni Mwanzo Tu 1/1 17
Ubora Uliojaribiwa wa Imani Waleta Uvumilivu 2/1 57
Usalama Wako Ni Nini? 9/1 398 Usiogope 1/1 12
Utapigaje Asante kwa Ajili ya Fadhili Zake za Upendo’ 7/15 325
Utendaji wa Roho Iliyomwagwa Kutoka Juu 3/15 135
“Uvumilivu na Uwe na Kazi Yake Kamilifu” 2/1 62
Vijana Wanataka Nini Maishani? 3/1 107
Vumilieni Tu—Ahadi Yakaribia Kutimizwa! 5/15 222
Wakati wa Taabu Duniani Pote—Sababu Gani, na Wakati Gani? 10/15 464
Watendaji wa Mapenzi ya Mungu Watimiziwa Ahadi 5/15 228
Wazee wa Kundi—‘Simamieni Vizuri!’ 8/1 356
Wewe Unathamini Vile Mungu Anavyokusubiri? 7/1 299
Wewe Unaweza Kupataje Usalama wa Kweli? 9/1 394
Wewe Unaweza Kuuingia Mlango Uliofunguka? 11/1 487
Yehova—Msaidiaji Mkuu Asiye na Kifani 1/1 6
MAMBO MENGINE
Aleksanda Mkuu na Mifano ya Biblia 12/15 572
Asili ya Krismasi 6/15 287
Dunia Isiyo na Maumivu 9/15 415
‘Hekima Ni Mti wa Uzima’ 1/1 16
Je! 1 Yohana 5:7, 8 Inahakikisha Kuna Utatu? 3/1 112
“Kati ya Bonde la Uvuli wa Mauti” 6/15 271
Kuhukumu kwa Haki, Hekima na Rehema 8/1 350
‘Kuja Chini ya Kivuli’ 4/1 151
Kujizuia kwa Wanawake Wasiingiliwe 8/15 369
Kumhubiri Kristo—kwa Wivu au Nia Njema? 4/15 186
‘Kuvuta Uovu kwa Kamba’ 1/15 47
“Kuwa Unapopaswa Kuwa” 5/1 198
Kwa Sababu Gani Watu Hawawezi Kusamehewa Dhambi Nyingine? 3/1 117
Maanguko Makubwa Zaidi 6/1 260
Manabii Walikuwa na Kazi Gani? 10/15 473
Msingi wa Kumwamini Mungu 10/15 459
‘Mwisho wa Ukamilifu’ 6/15 286
Ni Nani Anayestahili Kuombolezewa? 11/1 492
Ni Nani Mtumwa Mwaminifu Mwenye Akili’? 1/15 48
“Pango la Wanyang’anyi” 11/15
Roho Takatifu Ni Nafsi Kweli? 4/1 166
Sababu Gani Hua? 1/1 23
Sababu Mtu wa Kiroho “Hatambuliwi na Mtu” 7/1 295
Sala Zako Zina Ubora Gani? 4/15 183
Sanamu Inaweza Kuleta Amani na Usalama? 12/1
‘Thabiti Mpaka Mwisho’ 10/1 456
“Theluji Wakati wa Mavuno” 2/15 86
Tiro Ulikuwa Mji Wenye Hila 9/15 431
Unaweza Kugeukia Wapi Ukiwa na Matumaini? 4/1 147
Unafanya Nini Sasa Ujitayarishe? 1/15 47
Utakatifu wa Mungu Unatukuzwa na Mambo ya Walawi 12/15 568
‘Wakati Ambao Nchi Iligawanyika’ 11/15
“Watchtower Movement” au Kitawala 2/1 68
Wewe Ni Mbaya Mno Kiasi cha Kutosamehewa na Mungu? 3/15 125
Yerusalemu Siku za Mitume 6/1 243
MASHAHIDI WA YEHOVA
Furaha ya Kutimiziwa Mahitaji ya Kiroho 7/1 291
Furaha ya Mataifa Yote Afrika Kusini 6/1 259
Jitihada za Ushujaa Zaendelea Angola 5/15 219 Liberia 6/15
Msimamizi Mpya Achaguliwa 10/1 456
Nuru ya Kweli Yaangaza Afrika Mashariki 2/15 92
Sababu Gani Wanapendezwa Nawe? 1/15 27
Utendaji wa Ufalme Waanza Angola 5/1 212
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Chemchemi ya Ukweli Katika Jangwa 8/1 345
Ilifaa Nijitahidi Kushinda Watu Wote? 8/1 339
‘Kama Miche ya Mizeituni’ 8/15 365
Kilichonifurahisha 9/15 428
Kupata Mali Yenye Thamani Zaidi 10/15 476
Mtoto Mpotevu Arudi 12/1
Niliacha Kupiga Watu Barabarani 10/1 435
Nilipata Kimbilio la Kweli Nikiwa Mzee 7/1 296
Nilipata Uhuru Gerezani 7/15 320
Nimepooza—Lakini Nafurahia Maisha 7/15 315
Sisi Hatukuahirisha Mambo 11/15
Tulidhani Taratibu Ingeweza Kubadilishwa 9/1 387
Tulipewa Mradi Maishani 10/15 477
Tulitanguliza Utumishi wa Mungu 8/15 382
Tumekuwa Wazazi Miaka Ishirini 11/1 496
Uwezo wa Neno la Mungu Katika Maisha Yangu 12/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
1 Wathesalonike 4:17 Ina Maana Gani? 4/15 191
Adamu Alikuwa na Ngozi Nyekundu? 7/1 311
Cheti cha Kukaa Nchini cha Mtu Anayekaribia Ubatizo
Kimemalizika. Nitamwambia Nini? 12/1
Ezekieli Angewezaje Kuwa na Wajibu wa Maisha za Watu Katika Yerusalemu? 5/15 237
Hapo Kwanza Mungu Alikusudia Mwanamke Amtii Mumewe? 7/15 335
Kuna Ushuhuda Gani “Kondoo Wengine” Ni Watakaoishi Duniani? 4/15 190
Kwa Sababu Gani New World Translation Haionyeshi Majina na Elimu ya Watafsiri? 3/15 143
Maiti za Wakristo Zihifadhiwe Zisioze? 9/1 407
Maoni ya Mashahidi juu ya Kuhudhuria Arusi ya Mtu wa Ulimwengu? 3/15 142
Mashahidi wa Yehova Wanamwamini Yesu? 2/15 96
Matendo 12:15 Ina Maana Gani? 7/15 335
Mathayo 10:9, 10 Inaweza Kupatanishwaje na Marko 6:8, 9? 7/15 336
Mkristo Aweza Kupandisha au Kushusha Bendera 6/15 288
Mtu Akiwa Hatarini, Ana Haki Kutoa Mimba? 3/1 119
Mungu Ndiye Hufanya Mabubu na Vipofu Nyakati Zote? 3/15 142
Mwenzi Asiyeamini Akijitenga na Mwamini, Huo Si Msingi wa Kuvunja Ndoa? 6/1 260
Ni Sawa Mkristo Kushika Biblia na Kuapa Kortini? 1/j 24
Pesa Zilizotolewa na Mjane Zilikuwa Kiasi Gani? 2/15 96
“Siku za Mwisho” Zilitimizwa juu ya Taratibu ya Kiyahudi? 1/1 24
Tunawezaje Kuhesabu Miaka 46 Inayotajwa na Yohana 2:20? 12/1
Ubatizo Unatiwa Katika ‘Utakatifu’ wa Mtoto Machoni pa Mungu? 2/1 72
Watoto wa Jamaa za Kikristo Wasome Miaka Mingapi? 6/1 261
Waume Huachia Wake Daraka la Kuzoeza Watoto. Biblia Yasemaje? 5/15 238
Yesu Alikuwa na Maana Gani Alipoambia Mitume Wengine Wao Wangemwona Akija Katika Ufalme Kabla Hawajafa? 11/1 503
Yesu Kristo Anajua Wakati “Dhiki Kubwa” Itakapoanza? 1/1 23 au 3/15 144
MWENYE HEKIMA ALIKUWA NA MAANA GANI?
(Inatokea katika matoleo mengi baada ya Oktoba 1, 1977.)
YEHOVA MUNGU
Anapenda Haki 11/15
Kumfikia Katika Sala 2/1 51
Sababu Gani Tumwamini? 12/15
Sababu Yeye Hukaripia 5/1 195
YESU KRISTO
Anyenyekea Kifalme 7/15 330
Kutazama Baadhi ya Miujiza Yake 7/1 307
Miujiza Aliyofanya Katika Mji Alimokaa 3/1 103