Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1983
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana
BIBLIA
Barua ya Paulo kwa Wagalatia—Ujumbe wa Habari Njema 9/1/83
Gospeli (Injili) ya Yohana Inapasa Kuwa na Matokeo Gani Kwako? 5/1/83
Iache Biblia Ijisemee Yenyewe 8/1/83
Kinachokaziwa Ni Imani Yako—Katika Warumi 7/1/83
Kupata Kuwajua Wakristo wa Kwanza 8/1/83
Kwa Sababu Gani Barua kwa Waefeso? 10/1/83
Marko, Mwandikaji wa injili ya Vitendo 1/15/83
Mashahidi Wajasiri wa Yehova Wafanya Vitendo! 6/1/83
Sala Zilizo Katika Zaburi Zinaweza Kukufariji 2/15/83
Siri Ambayo Wafilipi Walijifunza 11/1/83
Tabibu Luka Afanya Kazi iliyo Bora Zaidi 4/15/83
Wakolosai—Mashauri Yanayofaa juu ya Imani na Mwenendo 12/1/83
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
“Basi Tusilale Usingizi kama Wengine” 9/15/83
“Dawa inayofanya Maajabu” kwa Ukuzi wa Kitoto Kichanga Ni Upendo 2/15/83
“Imewapasa Kuwasaidia Wanyonge” 8/15/83
Je’ Ungeweza Kuonyesha Upendo kwa Njia Nzuri Zaidi? 11/1/83
Kumwonyesha Mungu Kuthamini Kwetu 1/1/83
Kwa Sababu Gani Ni Lazima Wakristo Waendelee Kujitenga na Ulimwengu? 11/15/83
Kwa Sababu Gani Ni Vizuri Kupiga Asante? 8/15/83
“Mseme kwa Kuzifariji Nafsi Zilizoshuka Moyo” 3/1/83
Sababu Gani Ukubali Unapokosa? 2/1/83 Upendo wa Kikristo Wenye Matendo 10/15/83.
Wakati Mioyo Yetu Inapotusukuma 12/1/83
Yanayohitajiwa Ili Kuendelea Kujitenga na Ulimwengu 11/15/83
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Ambayo Kuzaliwa kwa Taifa Hilo Kumemaanisha kwa Wanadamu 1/l/83
“Endeleeni kama Wanaume” 5/1/83
Huu Ndio Wakati wa Kukimbia! 2/15/83
Iko Wapi Ile Kweli Inayoweza Kutuweka Huru? 9/15/83
Iweke Ndoa Yako Katika Hali ya Kuheshimika 11/1/83
“Iweni Safi”! 10/1/83
Kataa Uasi wa Imani, Ambatana na Ile Kweli! 9/1/83
Kazi Tukufu Inayofuata Uendeshaji wa Wapanda-Farasi 10/15/83
Kujivika Wenyewe Upendo na Kuendelea Kuuvaa 5/15/83
Kutembea Pamoja na Mungu Katika Ulimwengu Wenye Jeuri 12/15/83
Kuwalea Watoto Wako Wampende Yehova 3/15/83
Kuzaliwa kwa Taifa la Kifalme Katika Nchi Iliyozaliwa Upya 1/1/83
Kuzifunua Hila za Ibilisi 6/15/83
Lile Suala la Ufalme Lawekwa Mbele! 6/1/83
Lishike Sana Tumaini Lililo Mbele Yako 7/15/83
Maoni Yetu Ni Nini Kuelekea Wanaoipinga Kweli? 8/1/83
“Mjawe na Furaha Milele” 8/15/83
Mtumikie Yehova kwa Moyo Wenye Kujaa Furaha 4/1/83
“Mungu wa Faraja Yote Yuko Pamoja Nasi 5/1/83
Mwe kama Wanaume Wanaoelekeana na Har–Magedoni Bila Kuogopa 3/1/83
“Mwishindanie Imani” 1/15/83
Ninyi Waume, Onyesheni Upendo wa Kujinyima 11/1/83
Roho ya Huduma ya Kikristo 4/15/83
‘Tafuteni Amani, Mwifuate Sana’ 12/15/83
“Tazama! Yehova Alikuja Pamoja na Maelfu Kumi Watakatifu Wake” 2/1/83 Tumikieni Kishikamanifu Mkiwa “Wenzi-Wafanya-Kazi Katika Ile Kweli” 9/1/83
Tuna Silaha za Kupigana na Roho Waovu 6/15/83
Tunaweza ‘Kushangilia Siku Zetu Zote’ 4/1/83
Tunaweza ‘Kuvumilia Mpaka Mwisho’ 5/1/83
Uendeshaji wa Wale Wapanda-Farasi Wanne Ni Ishara 10/15/83
Uenezaji wa Evanjeli—Mahali Pao Katika Ibada ya Kweli 7/1/83
Uhuru wa Kweli Chini ya Utawala wa Ufalme 9/15/83
Ule Ufalme na “Mahali Patakatifu” 2/15/83
Uongozi Timamu kwa Vijana wa Leo 3/15/83
Upendo, “Kifungo Kikamilifu cha Mwungano” 5/15/83
Upendo Ukiwa “Kifungo cha Mwungano” Wathibitika Kuwa “MkamiIifu” 5/15/83
‘Usiyarudie Mambo Manyonge na Yenye Upungufu’ 11/15/83
Uungaji-Mkono wa Duniani Pote kwa Suala la Ufalme 6/1/83
Viwango vya Yehova Vinatusaidia 11/15/83
Wahudumu wa Mungu Ni Akina Nani Leo? 4/15/83
Wakati Msiba wa Ulimwengu Ukaribiapo—‘Mfikirie Yesu’ 7/15/83
Wakati Watu Waliokufa Watakapoishi Tena! 12/1/83
“Wakisongamana Pamoja Katika Mpango wa Vita” 8/1/83
Wakristo Wanaelekeana na Mateso kwa Uvumilivu 10/1/83
“Wapendwa, . . . Jidumisheni Katika Upendo wa Mungu” 2/1/83
Wenye Furaha Wajapoteswa! 10/1/83
Wenye Imani Walio Hai Ambao Hawatakufa Kamwe 12/1/83
Wewe Ni Mtu wa Namna Ambayo Mungu Angechagua? 7/1/83
Yatii ‘Maonyo Yaliyowekwa Mbele Yetu’! 1/15/83
Yerusalemu—”Sababu ya Shangwe” 8/15/83
MAMBO MENGINE
Bei ya Njaa 10/1/83
Dini Inawezaje Kupunguza Mikazo? 2/15/83
Habari Njema Kutoka Sehemu Zenye Matata 11/1/83
Hali ya Ujirani Imekwenda Wapi? 3/1/83
Ile Minyororo ya Ushirikina 2/1/83
Jambo la Thamani Kubwa Kuliko Kwenda Kanisani 5/15/83
Je! Kuna Wakati Ambao Wewe Utaishi Katika Ulimwengu Wenye Furaha? 7/1/83
Je! Watoto Wanataka Amri? 3/15/83
Jirani Wema—Tunawahitaji 3/1/83
Kiliokoa Maisha Yake 10/15/83
Kimbia Kukiwa Kungali Kuna Wakati! 4/15/83
Kitabu Kipya Chenye Kusisimua 7/15/83
Kizazi cha Matusi 9/1/83
Kufumbua Fumbo la Lile Jina Linalokosekana 9/15/83
Kuivunja Minyororo 2/1/83
Kuna Njia ya Kuondoa Ukosefu wa Furaha? 12/15/83
Kusema “Hapana” kwa Ngono za Tineja 1/1/83
Kutatua Matatizo ya Vijana 5/15/83
Kuthamini Kumeenda Wapi? 1/1/83
Kwa Sababu Gani Udanganyifu Ni Mwingi Sana? 8/1/83
Kwa Sababu Gani Uwe Mnyofu? 8/1/83
Kweli Yapatikana Mahali Isipoelekea Kupatikana 2/1/83
“Mahali Patakatifu” Paharibiwa—Maana ya Jambo Hilo Leo 4/15/83
Mahitaji Yetu—Je! Serikali Zinaweza Kuyajaza? 4/1/83
Makanisa Yanajiingiza 2/15/83
Maoni na Kanuni za Wengi Leo 3/15/83
Matusi—Kweli Yanaumiza? 9/1/83
Mnara Wenye Msaada kwa Miaka Zaidi ya 100 5/1/83
Namna Mahitaji Yetu Yatakavyojazwa 4/1/83
Ni Jambo Gani Limewapata Vijana Wetu? 3/15/83
Ni Kitulizo Gani Kinachoweza Kupatikana Sasa? 1/15/83
Ni Nini Siri ya Kupata Furaha? 12/15/83
Sala Iliyo Mfano wa Kufuatwa 5/1/83
“Sikio” la Fira 2/1/83
Ukristo wa Kisasa Ni wa Kweli Kiasi Gani? 6/15/83
Ulimwengu Utakuwaje Kesho? 7/1/83
“Umoja wa Ufalme” Makusanyiko ya Wilaya 7/15/83
Unaweza Kuwa na Uhakika Kadiri Gani? 1/15/83
Wakati Ni Nini? 6/1/83
Wakati Ujao kwa Vijana wa Leo 4/1/83
Wakati Ujao Salama Unaonekana! 1/15/83’
Wakati Ujao Wako—Je! Unaona Utakuwa Salama? 1/15/83
‘Wale Tisa Wako Wapi?’ 1/1/83
Walifanikiwa kwa Unyofu 8/1/83
Wanafanya Kazi Ingawa Wamepigwa Marufuku 3/15/83
Wewe Ni Mdogo Mno Hivi Kwamba Hufai Kitu? 7/15/83
Wewe Uko Upande Gani wa Lile Suala la Ufalme? 7/1/83
Wewe Umedanganywa? 9/15/83
Wewe Umepata Kukatishwa Tamaa na Kibandiko? 6/15/83
Wewe Unaweza Kuwa Jirani Mwema 3/1/83
‘Yanatoboa Waziwazi’ 4/15/83
MASHAHIDI WA YEHOVA
Alikuwa na Imani Isiyotikisika 8/15/83
“Askari Mwema wa Kristo Yesu” Mwenye Ushikamanifu 9/15/83
Kutafuta “Kondoo” Sehemu za Mashambani Huko Liberia 3/15/83
‘Mwanamume Mwenye Kujitoa Sana Sana’ 3/1/83
Wateteaji wa Kweli ya Ufalme Wakusanyika 10/15/83
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Ikiwa mke Mkristo mwaminifu ametalikwa na mumewe, ingefaa ashiriki kitanda pamoja na mume wakati mume anapotembelea jamaa? 2/1/83
Je! Mkristo anaweza kujipatia riziki kwa kupigana ngumi? 10/1/83
Je! tunakuwa wagonjwa kwa sababu tumetenda dhambi? 9/15/83
“Jumuiya ya Wakristo” ni nini? 8/15/83
‘Kumtia alama’ mtu asiye na utaratibu katika kundi 2/15/83
Mathayo 26:74: Petro alitumia Maneno Machafu? 12/1/83
Mbona Luka 2:22-24 inasema Mariamu alimpeleka Yesu Yerusalemu “zilipotimia siku za kutakasika kwao, kama ilivyo torati”? 8/1/83
Mfano wa “talanta” 8/15/83
Nani aliyepiga kelele akisema: “Haya, bwana arusi; tokeni mwende kumlaki”? 5/1/83
Ni nini maoni ya Biblia juu ya watoto wanaozaliwa baada ya kutayarishwa ndani ya vijumba vya uchunguzi wa kisayansi? 7/15/83
Sababu gani wasikilizaji wanakaribishwa wa simame kwa wimbo na sala? 3/1/83
Shauri la Biblia kuoa au kuolewa “katika Bwana tu” 8/15/83
Tuna haki gani kusema Mungu ana tengenezo? 4/15/83
Ufunuo 7:17 unaweza kutumiwa namna gani? 12/15/83
Yesu alikuwa na maana gani aliposema hivi juu ya shetani mmoja: “Namna hii haiwezi kutoka kwa neno lo lote, isipokuwa kwa kuomba”? 5/15/83
Yesu alikuwa na maana gani aliposema: “Taa ya mwili ni jicho”? 9/15/83
NENO LA MUNGU LI HAI
5/1/83, 5/15/83, 6/15/83, 7/15/83, 10/15/83, 11/1/83, 11/15/83,1 12/1/83, 12/15/83
YEHOVA MUNGU
Je! Anakuhesabu Wewe Kuwa mtu wa Maana? 7/15/83
Je! Anasikiliza Sala Zako? 8/15/83
Je! Anatunza Wakati? 6/15/83
Jina lake katika “Agano Jipya” 5/15/83
ZABURI
“Mtumikieni Yehova kwa Furaha” 3/15/83