Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w83 12/15 kur. 23-24
  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1983

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1983
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • NENO LA MUNGU LI HAI
  • YEHOVA MUNGU
  • ZABURI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
w83 12/15 kur. 23-24

Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1983

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Barua ya Paulo kwa Wagalatia​—Ujumbe wa Habari Njema 9/1/83

Gospeli (Injili) ya Yohana Inapasa Kuwa na Matokeo Gani Kwako? 5/1/83

Iache Biblia Ijisemee Yenyewe 8/1/83

Kinachokaziwa Ni Imani Yako​—Katika Warumi 7/1/83

Kupata Kuwajua Wakristo wa Kwanza 8/1/83

Kwa Sababu Gani Barua kwa Waefeso? 10/1/83

Marko, Mwandikaji wa injili ya Vitendo 1/15/83

Mashahidi Wajasiri wa Yehova Wafanya Vitendo! 6/1/83

Sala Zilizo Katika Zaburi Zinaweza Kukufariji 2/15/83

Siri Ambayo Wafilipi Walijifunza 11/1/83

Tabibu Luka Afanya Kazi iliyo Bora Zaidi 4/15/83

Wakolosai​—Mashauri Yanayofaa juu ya Imani na Mwenendo 12/1/83

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

“Basi Tusilale Usingizi kama Wengine” 9/15/83

“Dawa inayofanya Maajabu” kwa Ukuzi wa Kitoto Kichanga Ni Upendo 2/15/83

“Imewapasa Kuwasaidia Wanyonge” 8/15/83

Je’ Ungeweza Kuonyesha Upendo kwa Njia Nzuri Zaidi? 11/1/83

Kumwonyesha Mungu Kuthamini Kwetu 1/1/83

Kwa Sababu Gani Ni Lazima Wakristo Waendelee Kujitenga na Ulimwengu? 11/15/83

Kwa Sababu Gani Ni Vizuri Kupiga Asante? 8/15/83

“Mseme kwa Kuzifariji Nafsi Zilizoshuka Moyo” 3/1/83

Sababu Gani Ukubali Unapokosa? 2/1/83 Upendo wa Kikristo Wenye Matendo 10/15/83.

Wakati Mioyo Yetu Inapotusukuma 12/1/83

Yanayohitajiwa Ili Kuendelea Kujitenga na Ulimwengu 11/15/83

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Ambayo Kuzaliwa kwa Taifa Hilo Kumemaanisha kwa Wanadamu 1/l/83

“Endeleeni kama Wanaume” 5/1/83

Huu Ndio Wakati wa Kukimbia! 2/15/83

Iko Wapi Ile Kweli Inayoweza Kutuweka Huru? 9/15/83

Iweke Ndoa Yako Katika Hali ya Kuheshimika 11/1/83

“Iweni Safi”! 10/1/83

Kataa Uasi wa Imani, Ambatana na Ile Kweli! 9/1/83

Kazi Tukufu Inayofuata Uendeshaji wa Wapanda-Farasi 10/15/83

Kujivika Wenyewe Upendo na Kuendelea Kuuvaa 5/15/83

Kutembea Pamoja na Mungu Katika Ulimwengu Wenye Jeuri 12/15/83

Kuwalea Watoto Wako Wampende Yehova 3/15/83

Kuzaliwa kwa Taifa la Kifalme Katika Nchi Iliyozaliwa Upya 1/1/83

Kuzifunua Hila za Ibilisi 6/15/83

Lile Suala la Ufalme Lawekwa Mbele! 6/1/83

Lishike Sana Tumaini Lililo Mbele Yako 7/15/83

Maoni Yetu Ni Nini Kuelekea Wanaoipinga Kweli? 8/1/83

“Mjawe na Furaha Milele” 8/15/83

Mtumikie Yehova kwa Moyo Wenye Kujaa Furaha 4/1/83

“Mungu wa Faraja Yote Yuko Pamoja Nasi 5/1/83

Mwe kama Wanaume Wanaoelekeana na Har–Magedoni Bila Kuogopa 3/1/83

“Mwishindanie Imani” 1/15/83

Ninyi Waume, Onyesheni Upendo wa Kujinyima 11/1/83

Roho ya Huduma ya Kikristo 4/15/83

‘Tafuteni Amani, Mwifuate Sana’ 12/15/83

“Tazama! Yehova Alikuja Pamoja na Maelfu Kumi Watakatifu Wake” 2/1/83 Tumikieni Kishikamanifu Mkiwa “Wenzi-Wafanya-Kazi Katika Ile Kweli” 9/1/83

Tuna Silaha za Kupigana na Roho Waovu 6/15/83

Tunaweza ‘Kushangilia Siku Zetu Zote’ 4/1/83

Tunaweza ‘Kuvumilia Mpaka Mwisho’ 5/1/83

Uendeshaji wa Wale Wapanda-Farasi Wanne Ni Ishara 10/15/83

Uenezaji wa Evanjeli​—Mahali Pao Katika Ibada ya Kweli 7/1/83

Uhuru wa Kweli Chini ya Utawala wa Ufalme 9/15/83

Ule Ufalme na “Mahali Patakatifu” 2/15/83

Uongozi Timamu kwa Vijana wa Leo 3/15/83

Upendo, “Kifungo Kikamilifu cha Mwungano” 5/15/83

Upendo Ukiwa “Kifungo cha Mwungano” Wathibitika Kuwa “MkamiIifu” 5/15/83

‘Usiyarudie Mambo Manyonge na Yenye Upungufu’ 11/15/83

Uungaji-Mkono wa Duniani Pote kwa Suala la Ufalme 6/1/83

Viwango vya Yehova Vinatusaidia 11/15/83

Wahudumu wa Mungu Ni Akina Nani Leo? 4/15/83

Wakati Msiba wa Ulimwengu Ukaribiapo​—‘Mfikirie Yesu’ 7/15/83

Wakati Watu Waliokufa Watakapoishi Tena! 12/1/83

“Wakisongamana Pamoja Katika Mpango wa Vita” 8/1/83

Wakristo Wanaelekeana na Mateso kwa Uvumilivu 10/1/83

“Wapendwa, . . . Jidumisheni Katika Upendo wa Mungu” 2/1/83

Wenye Furaha Wajapoteswa! 10/1/83

Wenye Imani Walio Hai Ambao Hawatakufa Kamwe 12/1/83

Wewe Ni Mtu wa Namna Ambayo Mungu Angechagua? 7/1/83

Yatii ‘Maonyo Yaliyowekwa Mbele Yetu’! 1/15/83

Yerusalemu​—”Sababu ya Shangwe” 8/15/83

MAMBO MENGINE

Bei ya Njaa 10/1/83

Dini Inawezaje Kupunguza Mikazo? 2/15/83

Habari Njema Kutoka Sehemu Zenye Matata 11/1/83

Hali ya Ujirani Imekwenda Wapi? 3/1/83

Ile Minyororo ya Ushirikina 2/1/83

Jambo la Thamani Kubwa Kuliko Kwenda Kanisani 5/15/83

Je! Kuna Wakati Ambao Wewe Utaishi Katika Ulimwengu Wenye Furaha? 7/1/83

Je! Watoto Wanataka Amri? 3/15/83

Jirani Wema​—Tunawahitaji 3/1/83

Kiliokoa Maisha Yake 10/15/83

Kimbia Kukiwa Kungali Kuna Wakati! 4/15/83

Kitabu Kipya Chenye Kusisimua 7/15/83

Kizazi cha Matusi 9/1/83

Kufumbua Fumbo la Lile Jina Linalokosekana 9/15/83

Kuivunja Minyororo 2/1/83

Kuna Njia ya Kuondoa Ukosefu wa Furaha? 12/15/83

Kusema “Hapana” kwa Ngono za Tineja 1/1/83

Kutatua Matatizo ya Vijana 5/15/83

Kuthamini Kumeenda Wapi? 1/1/83

Kwa Sababu Gani Udanganyifu Ni Mwingi Sana? 8/1/83

Kwa Sababu Gani Uwe Mnyofu? 8/1/83

Kweli Yapatikana Mahali Isipoelekea Kupatikana 2/1/83

“Mahali Patakatifu” Paharibiwa​—Maana ya Jambo Hilo Leo 4/15/83

Mahitaji Yetu​—Je! Serikali Zinaweza Kuyajaza? 4/1/83

Makanisa Yanajiingiza 2/15/83

Maoni na Kanuni za Wengi Leo 3/15/83

Matusi​—Kweli Yanaumiza? 9/1/83

Mnara Wenye Msaada kwa Miaka Zaidi ya 100 5/1/83

Namna Mahitaji Yetu Yatakavyojazwa 4/1/83

Ni Jambo Gani Limewapata Vijana Wetu? 3/15/83

Ni Kitulizo Gani Kinachoweza Kupatikana Sasa? 1/15/83

Ni Nini Siri ya Kupata Furaha? 12/15/83

Sala Iliyo Mfano wa Kufuatwa 5/1/83

“Sikio” la Fira 2/1/83

Ukristo wa Kisasa Ni wa Kweli Kiasi Gani? 6/15/83

Ulimwengu Utakuwaje Kesho? 7/1/83

“Umoja wa Ufalme” Makusanyiko ya Wilaya 7/15/83

Unaweza Kuwa na Uhakika Kadiri Gani? 1/15/83

Wakati Ni Nini? 6/1/83

Wakati Ujao kwa Vijana wa Leo 4/1/83

Wakati Ujao Salama Unaonekana! 1/15/83’

Wakati Ujao Wako​—Je! Unaona Utakuwa Salama? 1/15/83

‘Wale Tisa Wako Wapi?’ 1/1/83

Walifanikiwa kwa Unyofu 8/1/83

Wanafanya Kazi Ingawa Wamepigwa Marufuku 3/15/83

Wewe Ni Mdogo Mno Hivi Kwamba Hufai Kitu? 7/15/83

Wewe Uko Upande Gani wa Lile Suala la Ufalme? 7/1/83

Wewe Umedanganywa? 9/15/83

Wewe Umepata Kukatishwa Tamaa na Kibandiko? 6/15/83

Wewe Unaweza Kuwa Jirani Mwema 3/1/83

‘Yanatoboa Waziwazi’ 4/15/83

MASHAHIDI WA YEHOVA

Alikuwa na Imani Isiyotikisika 8/15/83

“Askari Mwema wa Kristo Yesu” Mwenye Ushikamanifu 9/15/83

Kutafuta “Kondoo” Sehemu za Mashambani Huko Liberia 3/15/83

‘Mwanamume Mwenye Kujitoa Sana Sana’ 3/1/83

Wateteaji wa Kweli ya Ufalme Wakusanyika 10/15/83

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Ikiwa mke Mkristo mwaminifu ametalikwa na mumewe, ingefaa ashiriki kitanda pamoja na mume wakati mume anapotembelea jamaa? 2/1/83

Je! Mkristo anaweza kujipatia riziki kwa kupigana ngumi? 10/1/83

Je! tunakuwa wagonjwa kwa sababu tumetenda dhambi? 9/15/83

“Jumuiya ya Wakristo” ni nini? 8/15/83

‘Kumtia alama’ mtu asiye na utaratibu katika kundi 2/15/83

Mathayo 26:74: Petro alitumia Maneno Machafu? 12/1/83

Mbona Luka 2:22-24 inasema Mariamu alimpeleka Yesu Yerusalemu “zilipotimia siku za kutakasika kwao, kama ilivyo torati”? 8/1/83

Mfano wa “talanta” 8/15/83

Nani aliyepiga kelele akisema: “Haya, bwana arusi; tokeni mwende kumlaki”? 5/1/83

Ni nini maoni ya Biblia juu ya watoto wanaozaliwa baada ya kutayarishwa ndani ya vijumba vya uchunguzi wa kisayansi? 7/15/83

Sababu gani wasikilizaji wanakaribishwa wa simame kwa wimbo na sala? 3/1/83

Shauri la Biblia kuoa au kuolewa “katika Bwana tu” 8/15/83

Tuna haki gani kusema Mungu ana tengenezo? 4/15/83

Ufunuo 7:17 unaweza kutumiwa namna gani? 12/15/83

Yesu alikuwa na maana gani aliposema hivi juu ya shetani mmoja: “Namna hii haiwezi kutoka kwa neno lo lote, isipokuwa kwa kuomba”? 5/15/83

Yesu alikuwa na maana gani aliposema: “Taa ya mwili ni jicho”? 9/15/83

NENO LA MUNGU LI HAI

5/1/83, 5/15/83, 6/15/83, 7/15/83, 10/15/83, 11/1/83, 11/15/83,1 12/1/83, 12/15/83

YEHOVA MUNGU

Je! Anakuhesabu Wewe Kuwa mtu wa Maana? 7/15/83

Je! Anasikiliza Sala Zako? 8/15/83

Je! Anatunza Wakati? 6/15/83

Jina lake katika “Agano Jipya” 5/15/83

ZABURI

“Mtumikieni Yehova kwa Furaha” 3/15/83

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki