Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w86 12/15 uku. 31
  • Fahiris! ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1986

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahiris! ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1986
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • KUJUA YALIYO KATIKA HABARI
  • MAMBO MAKUU YA BIBLIA
  • MAISHA NA HUDUMA YA YESU
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI JUU YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • YEHOVA MUNGU
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
w86 12/15 uku. 31

Fahiris! ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1986

Ikionyesha tarehe ya nakala ambayo makala imo

BIBLIA

Biblia na Wakati Ujao Wako, 5/15

Biblia Ni Neno la Mungu, 4/1

Je! Inazifaa Siku Zetu? 5/1

Kitabu Cha Wanadamu Wote, 4/15

Danieli: Kitabu cha Unabii, 10/1

Danieli: Kung’ang’ania Mamlaka ya Duniani Pote, 10/15

Danieli: Mwandiko Ukutani, 11/15

Danieli: Jitu la Kiunabii Laanguka, 11/15 Danieli: “Wakati wa Mwisho,” 11/1

Unabii wa Danieli Unakuhusu Wewe, 10/1

Ufunuo: Wanyama, 2/1

Ufunuo: Wapanda Farasi, 1/1, 1/15

KUJUA YALIYO KATIKA HABARI

(Katika matoleo ya 4/15, 5/15, 6/15, 9/15,11/15)

MAMBO MAKUU YA BIBLIA

Utangulizi, 1/15 ,

Esta, 1/15

Ezra, 3/15

Nehemia, 2/15

Zaburi 1-41, 8/15

Zaburi 42-72, 10/15

Zaburi 73-106, 12/15

MAISHA NA HUDUMA YA YESU

(Katika kila toleo)

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Cheo cha Mwanamke Kinachoheshimiwa, 9/1

Endeleza Mwelekeo wa Kutazamia Mazuri, 6/1

Je! Mtoto Wako Mdogo ‘Anakua Kuelekea Wokovu’?8/1

Je! Ni Lazima Uwe Mashuhuri? 9/1

Je! Wewe Unaheshimu Zawadi ya Mungu ya Uzazi?7/15

Je! Wewe Unaweza Kukubali Nidhamu? 5/1

Je! Wewe Unatafuta Mwenzi wa Maisha? 11/15

Kumsifu Yehova kwa Muziki, 10/15

Kusali Mbele ya Wengine, 5/15

Linda Kinywa Chako! 8/15

“Mpende Jirani Yako,” 10/1

Tumia Ukombozi wa Kikristo kwa Njia Inayofaa, 7/1

Waepaji Ni Akina Nani Hasa? 7/1

Wewe Unaweza Kuongozaje Maoni Yako ya Moyoni? 6/15

Ufunguo wa Kupata Dini ya Kweli, 6/1

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Amani Kutoka kwa Mungu​—Wakati Gani? 10/1

Baraka ya Yehova Inatajirisha, 6/15

Enenda kwa Imani! 1/1

Enenda Ukiwa na Uhakika Katika Uongozi wa Yehova, 1/15

Endelea Kutembea Katika Nuru ya Kimungu, 7/15

‘Endelea Kuwa Bila Doa, Bila Kasoro, na Katika Amani,’ 5/1

Fanya Zaidi ya Kusema Tu: ‘Ukaote Moto na Kushiba,’ 10/15

Faraja Kutoka kwa Yule Mungu wa Amani, 10/1

Faraja kwa Washika Ukamilifu, 2/1

Furahisha Moyo wa Yehova kwa Kushika Ukamilifu! 2/1

Heshima ya Kimungu ya Damu, 9/1

Ibada ya Kweli Inashinda, 2/15

Je! Jicho Lako Ni “Rahisi”? 5/1

Je! Lo Lote Linaweza Kukutenganisha na Upendo wa Mungu, 6/1

Je! Wewe Ni Mwenye Matokeo Katika Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko? 3/1

Je! Wewe Una Akili ya Kristo? 12/1

Jilinde Usitumie Vibaya Uwezo, 8/15

Jinsi Lilivyo Tukufu Jina la Yehova! 12/15 “Jitahidini,” 1/15

‘Kimbieni kwa Njia Ambayo Mtapata Thawabu, 4/1

Kuazimia Kumtumikia Yehova kwa Moyo Kamili, 6/1

Kudumisha Umoja wa Kikristo Katika Mahusiano ya Kibiashara, 11/15

Kuchimba Ndani Zaidi Katika Neno la Mungu, 2/1

Kuishi kwa Ajili ya Mapenzi ya Mungu​—Leo na Milele, 7/1

Kujenga kwa Ajili ya Wakati Ujao wa Milele, 1/1

Kujipanga Upande Mmoja na Washika-Ukamilifu wa Yehova, 7/1

Kujitegemeza na Utimizo wa Maneno ya Yehova, 2/1

Kupata Nguvu Mpya, Si Kuchoka, 1/15

Kupata Shangwe ya Ushindi Katika “Siku za Mwisho,” 3/1

Kupata Upendezi Katika Neno la Yehova, 5/15

Kuufuatia kwa Umoja Mradi wa Uzima, 2/15

Kuutetea Ukweli Katika Ulimwengu Unaomkana Mungu, 4/1

Kuyafuata kwa Uangalifu Maagizo ya Mfalme, 6/1

“Mambo Yaliyofunuliwa Ni Yetu Sisi,” 5/15

Matatizo ya Jamaa Yatatuliwa na Mashauri ya Biblia, 11/1

“Mkate wa Uzima” Upo kwa Watu Wote, 2/15

Msimpe Ibilisi Nafasi! 3/15

“Msiruhusu Mtu Ye Yote Awanyang’anye Thawabu,” 3/15

Onyesha Upendo na Imani Sikuzote, 7/15

‘Panda kwa Ukarimu, Vuna kwa Ukarimu,’ 6/15

Shauri Ambalo “Limekolezwa Chumvi,” 9/15

Siku Kama “Siku za Noa,” 1/1

Ukamilifu Katika Kumtumikia Mungu wa Ukweli, 4/1

Ukamilifu wa Ayubu​—Kwa Sababu Gani Unastaajabisha Sana? 3/1

Ukamilifu wa Ayubu​—Ni Nani Anayeweza Kuuiga?3/1

“Usitikiswe Upesi Katika Sababu Yako,” 3/15

“Uwe Hodari Tu na Ushujaa Mwingi,” 12/15

Uwe Mnyofu Katika Mambo Yote, 11/15

Uwe Mwenye Furaha​—Waonyeshe Kibali Walio na Shida, 10/15

Vijana​—Msidanganywe, 8/1

Vijana​—Sehemu Yenu Katika Jamaa Yenye Furaha, Yenye Umoja, 11/1

Vijana Wanaofurahisha Moyo wa Yehova, 8/1

Wakristo Wasiokuwamo Katika Ulimwengu Wenye Madoa ya Damu, 9/1

Washauri Wastadi​—Baraka kwa Ndugu Zao, 9/15

Wazazi​—Ninyi Mnaweza ‘Kujengaje’ Jamaa Yenu? 11/1

Wema wa Yehova Katika “Siku za Mwisho,” 2/15

Wenye Furaha Ni Wale Wanaotumia Uwezo kwa Njia lnayofaa! 8/15

Yanayomaanishwa na Nyakati na Majira ya Yehova kwa Siku Zetu, 4/15

Yehova​—Mungu wa Nyakati na Majira, 4/15

“Yehova Mungu Wetu Ndiye Sisi Tutatumikia,” 12/15

Yesu, Kiolezo cha Kufuata kwa Ukaribu, 12/1

MAMBO MENGINE

Alitii Mungu Kuwa Mtawala Kuliko Wanadamu (John Hus), 6/15

Balaamu​—Ni Historia au Ni Hadithi ya Kutungwa Tu? 11/15

Je! Mabaraza ya Kidini Yanakubaliwa na Mungu? 5/15

Je! Ni Lazima Wewe Usherehekee Krismasi? 12/15

Je! Wewe Unauacha Ukweli Ukuponyoke? 3/1

Je! Wafu Wako Hai? 8/1

Krismasi Kwa Wakristo? 12/15

Kukimbia kwa Wakristo Kwenda Pela, 8/15

Kutoa Watoto Dhabihu​—Sababu Gani Kulichukiza Sana? 10/1

Kutokezwa kwa Uhai, 7/15

Matumizi Mabaya ya Uwezo​—Je! Kweli Yataisha?8/15

Mchimbuzi wa Vitu vya Kale Aliyethamini Ukweli wa Biblia F. Kenyon, 7/1

Meteora​—Ile Miamba Mikubwa, 9/15 Michango, 12/1

Mnara wa Mlinzi​—Msaada wa Kuzuia Uhalifu, 6/1

Mwaka 1986—Je! Ni wa “Kulinda Amani”? 10/1

Ni Nini Kilicho cha Thamani Kweli Kweli, 6/15

Onyo Kutokana na Wakati Uliopita, 9/15

Roho ya Upainia (Ufilipino), 7/15

Tumaini Lako​—Je! Ni Mungu au Mali? 6/15

Ubatizo wa Vitoto Vichanga, 3/15

Ufunuo ni Nini na Wakati Gani? 2/15

Ukombozi​—Unatamanika Kama Nini! 7/1

Unajimu Katika Masinagogi? 12/15

Ungamo la Myesuiti, 12/15

Uthamini​—Lakini Mbona Ni Mtanguo, 11/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

“Amani ya Kimungu” Mkusanyiko wa Wilaya, 2/15, 5/1

Guadeloupe, 8/15

Kuhitimu kwa Gileadi, 12/1

Kutangaza Habari Njema Katika Donegal, 5/15

Kuwatunza “Kondoo” Katika Caprivi (SW Africa [Namibia]), 9/15

“Masuala ya Kisheria Katika Tiba ya Kutia Damu Mishipani, 4/15

Ongezeko la Ufalme Katika Nchi ya Wamaliki, 6/15

Uhuru wa Kidini Washambuliwa (Ugiriki), 12/1

Upeo Unaofurahisha wa Miaka 80 ya Mkusanyo (India), 4/15

Visiwa Marquesas na Tuamotus, 10/15

Watu Wasiojiweza Ambao Ni Wahubiri Wenye Uwezo, 11/15

Wenye Kazi za Ustadi Waliopata Kazi ya Maisha (Japani), 5/1

MASIMULIZI JUU YA MAISHA YA WATU

Jinsi Mimi Nilivyoshinda Kutaka Sana Kusifiwa (W. Gray), 11/1

Kupokea Haja za Moyo Wangu’ (P. Wentzel), 7/1

Kijia Kisicho na Mwisho (E. Abbott), 10/1

Niliacha Kwenda Mbinguni (Y. Eto), 9/1

Utumishi wa Painia Ulichangamsha Maisha Yangu (A. Gustavsson), 12/1

Yehova Alibariki Maamuzi Yangu (S. Friend), 8/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Andiko la 2 Yohana 10, 1/15

Daudi Ahatirisha Ahimeleki kwa Kujua? 11/15

Hongo na Bakshishi, 10/1

Inafaa kundi litendeje na Shahidi akijiunga na dini nyingine? 10/15

Je! Yohana 6:53 lahusu wapakwa-mafuta tu? 2/15

Je! kuna tofauti kati ya “kuumba” (creation) na “nadharia ya kuumba” (creationism)? 9/1

Je! Yonathani alipoteza upendeleo wa Mungu alipokula asali? 6/1

Je! yubile ilikuwa kivuli cha miaka 49,000 ya ‘juma la uumbaji’ la Mungu? 1/15

Kubatizwa na watu wawili au zaidi? 11/15

Kwa sababu gani mtoto wa Bath-sheba alikufa? 3/15

Leviathani” (Isaya 27:1), 8/15

Mambo ya kuepuka tunapompelekea Yehova sala, 1/15

“Mkutano mkubwa” (Ufu. 7:9, 14), 8/1

Ni nani waliodai nafasi ya mtu? (Luka 12:20), 7/15

Samsoni alirarua simba, 3/15

Ulafi, 5/1

Waamuzi, wangapi? 6/1

Waasi-imani wanaodai wanaamini Biblia, 4/1

Yehova angewezaje kushughulika moja kwa moja na Shetani (Ayubu), 11/1

Yerusalemu “mtumwa pamoja na watoto wake,” 3/15

Yesu alikula nyumbani kwa Simoni mkoma wakati gani? 2/15

Yesu alimaanisha nini kwa kusema “maji” yangekuwa “chemchemi”? 5/15

Yesu ni “mungu” aliyeumbwa na Yehova? (Isa. 43:10), 7/1

YEHOVA MUNGU

Yule Mungu wa “Agano la Kale”​—Je! Yeye ni Mungu wa Upendo, 9/15

YESU KRISTO

Je! Wewe Unatembea Katika Hatua za Mwokozi? 9/1

“Mfuate Sana Hatua Zake,” 9/1

Ufufuo wa Yesu Kristo​—Si Hadithi Tu ya Uwongo, 8/15

“Neno Alikuwa Pamoja na Mungu,” 1/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki