Fahiris! ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1986
Ikionyesha tarehe ya nakala ambayo makala imo
BIBLIA
Biblia na Wakati Ujao Wako, 5/15
Biblia Ni Neno la Mungu, 4/1
Je! Inazifaa Siku Zetu? 5/1
Kitabu Cha Wanadamu Wote, 4/15
Danieli: Kitabu cha Unabii, 10/1
Danieli: Kung’ang’ania Mamlaka ya Duniani Pote, 10/15
Danieli: Mwandiko Ukutani, 11/15
Danieli: Jitu la Kiunabii Laanguka, 11/15 Danieli: “Wakati wa Mwisho,” 11/1
Unabii wa Danieli Unakuhusu Wewe, 10/1
Ufunuo: Wanyama, 2/1
Ufunuo: Wapanda Farasi, 1/1, 1/15
KUJUA YALIYO KATIKA HABARI
(Katika matoleo ya 4/15, 5/15, 6/15, 9/15,11/15)
MAMBO MAKUU YA BIBLIA
Utangulizi, 1/15 ,
Esta, 1/15
Ezra, 3/15
Nehemia, 2/15
Zaburi 1-41, 8/15
Zaburi 42-72, 10/15
Zaburi 73-106, 12/15
MAISHA NA HUDUMA YA YESU
(Katika kila toleo)
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Cheo cha Mwanamke Kinachoheshimiwa, 9/1
Endeleza Mwelekeo wa Kutazamia Mazuri, 6/1
Je! Mtoto Wako Mdogo ‘Anakua Kuelekea Wokovu’?8/1
Je! Ni Lazima Uwe Mashuhuri? 9/1
Je! Wewe Unaheshimu Zawadi ya Mungu ya Uzazi?7/15
Je! Wewe Unaweza Kukubali Nidhamu? 5/1
Je! Wewe Unatafuta Mwenzi wa Maisha? 11/15
Kumsifu Yehova kwa Muziki, 10/15
Kusali Mbele ya Wengine, 5/15
Linda Kinywa Chako! 8/15
“Mpende Jirani Yako,” 10/1
Tumia Ukombozi wa Kikristo kwa Njia Inayofaa, 7/1
Waepaji Ni Akina Nani Hasa? 7/1
Wewe Unaweza Kuongozaje Maoni Yako ya Moyoni? 6/15
Ufunguo wa Kupata Dini ya Kweli, 6/1
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Amani Kutoka kwa Mungu—Wakati Gani? 10/1
Baraka ya Yehova Inatajirisha, 6/15
Enenda kwa Imani! 1/1
Enenda Ukiwa na Uhakika Katika Uongozi wa Yehova, 1/15
Endelea Kutembea Katika Nuru ya Kimungu, 7/15
‘Endelea Kuwa Bila Doa, Bila Kasoro, na Katika Amani,’ 5/1
Fanya Zaidi ya Kusema Tu: ‘Ukaote Moto na Kushiba,’ 10/15
Faraja Kutoka kwa Yule Mungu wa Amani, 10/1
Faraja kwa Washika Ukamilifu, 2/1
Furahisha Moyo wa Yehova kwa Kushika Ukamilifu! 2/1
Heshima ya Kimungu ya Damu, 9/1
Ibada ya Kweli Inashinda, 2/15
Je! Jicho Lako Ni “Rahisi”? 5/1
Je! Lo Lote Linaweza Kukutenganisha na Upendo wa Mungu, 6/1
Je! Wewe Ni Mwenye Matokeo Katika Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko? 3/1
Je! Wewe Una Akili ya Kristo? 12/1
Jilinde Usitumie Vibaya Uwezo, 8/15
Jinsi Lilivyo Tukufu Jina la Yehova! 12/15 “Jitahidini,” 1/15
‘Kimbieni kwa Njia Ambayo Mtapata Thawabu, 4/1
Kuazimia Kumtumikia Yehova kwa Moyo Kamili, 6/1
Kudumisha Umoja wa Kikristo Katika Mahusiano ya Kibiashara, 11/15
Kuchimba Ndani Zaidi Katika Neno la Mungu, 2/1
Kuishi kwa Ajili ya Mapenzi ya Mungu—Leo na Milele, 7/1
Kujenga kwa Ajili ya Wakati Ujao wa Milele, 1/1
Kujipanga Upande Mmoja na Washika-Ukamilifu wa Yehova, 7/1
Kujitegemeza na Utimizo wa Maneno ya Yehova, 2/1
Kupata Nguvu Mpya, Si Kuchoka, 1/15
Kupata Shangwe ya Ushindi Katika “Siku za Mwisho,” 3/1
Kupata Upendezi Katika Neno la Yehova, 5/15
Kuufuatia kwa Umoja Mradi wa Uzima, 2/15
Kuutetea Ukweli Katika Ulimwengu Unaomkana Mungu, 4/1
Kuyafuata kwa Uangalifu Maagizo ya Mfalme, 6/1
“Mambo Yaliyofunuliwa Ni Yetu Sisi,” 5/15
Matatizo ya Jamaa Yatatuliwa na Mashauri ya Biblia, 11/1
“Mkate wa Uzima” Upo kwa Watu Wote, 2/15
Msimpe Ibilisi Nafasi! 3/15
“Msiruhusu Mtu Ye Yote Awanyang’anye Thawabu,” 3/15
Onyesha Upendo na Imani Sikuzote, 7/15
‘Panda kwa Ukarimu, Vuna kwa Ukarimu,’ 6/15
Shauri Ambalo “Limekolezwa Chumvi,” 9/15
Siku Kama “Siku za Noa,” 1/1
Ukamilifu Katika Kumtumikia Mungu wa Ukweli, 4/1
Ukamilifu wa Ayubu—Kwa Sababu Gani Unastaajabisha Sana? 3/1
Ukamilifu wa Ayubu—Ni Nani Anayeweza Kuuiga?3/1
“Usitikiswe Upesi Katika Sababu Yako,” 3/15
“Uwe Hodari Tu na Ushujaa Mwingi,” 12/15
Uwe Mnyofu Katika Mambo Yote, 11/15
Uwe Mwenye Furaha—Waonyeshe Kibali Walio na Shida, 10/15
Vijana—Msidanganywe, 8/1
Vijana—Sehemu Yenu Katika Jamaa Yenye Furaha, Yenye Umoja, 11/1
Vijana Wanaofurahisha Moyo wa Yehova, 8/1
Wakristo Wasiokuwamo Katika Ulimwengu Wenye Madoa ya Damu, 9/1
Washauri Wastadi—Baraka kwa Ndugu Zao, 9/15
Wazazi—Ninyi Mnaweza ‘Kujengaje’ Jamaa Yenu? 11/1
Wema wa Yehova Katika “Siku za Mwisho,” 2/15
Wenye Furaha Ni Wale Wanaotumia Uwezo kwa Njia lnayofaa! 8/15
Yanayomaanishwa na Nyakati na Majira ya Yehova kwa Siku Zetu, 4/15
Yehova—Mungu wa Nyakati na Majira, 4/15
“Yehova Mungu Wetu Ndiye Sisi Tutatumikia,” 12/15
Yesu, Kiolezo cha Kufuata kwa Ukaribu, 12/1
MAMBO MENGINE
Alitii Mungu Kuwa Mtawala Kuliko Wanadamu (John Hus), 6/15
Balaamu—Ni Historia au Ni Hadithi ya Kutungwa Tu? 11/15
Je! Mabaraza ya Kidini Yanakubaliwa na Mungu? 5/15
Je! Ni Lazima Wewe Usherehekee Krismasi? 12/15
Je! Wewe Unauacha Ukweli Ukuponyoke? 3/1
Je! Wafu Wako Hai? 8/1
Krismasi Kwa Wakristo? 12/15
Kukimbia kwa Wakristo Kwenda Pela, 8/15
Kutoa Watoto Dhabihu—Sababu Gani Kulichukiza Sana? 10/1
Kutokezwa kwa Uhai, 7/15
Matumizi Mabaya ya Uwezo—Je! Kweli Yataisha?8/15
Mchimbuzi wa Vitu vya Kale Aliyethamini Ukweli wa Biblia F. Kenyon, 7/1
Meteora—Ile Miamba Mikubwa, 9/15 Michango, 12/1
Mnara wa Mlinzi—Msaada wa Kuzuia Uhalifu, 6/1
Mwaka 1986—Je! Ni wa “Kulinda Amani”? 10/1
Ni Nini Kilicho cha Thamani Kweli Kweli, 6/15
Onyo Kutokana na Wakati Uliopita, 9/15
Roho ya Upainia (Ufilipino), 7/15
Tumaini Lako—Je! Ni Mungu au Mali? 6/15
Ubatizo wa Vitoto Vichanga, 3/15
Ufunuo ni Nini na Wakati Gani? 2/15
Ukombozi—Unatamanika Kama Nini! 7/1
Unajimu Katika Masinagogi? 12/15
Ungamo la Myesuiti, 12/15
Uthamini—Lakini Mbona Ni Mtanguo, 11/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
“Amani ya Kimungu” Mkusanyiko wa Wilaya, 2/15, 5/1
Guadeloupe, 8/15
Kuhitimu kwa Gileadi, 12/1
Kutangaza Habari Njema Katika Donegal, 5/15
Kuwatunza “Kondoo” Katika Caprivi (SW Africa [Namibia]), 9/15
“Masuala ya Kisheria Katika Tiba ya Kutia Damu Mishipani, 4/15
Ongezeko la Ufalme Katika Nchi ya Wamaliki, 6/15
Uhuru wa Kidini Washambuliwa (Ugiriki), 12/1
Upeo Unaofurahisha wa Miaka 80 ya Mkusanyo (India), 4/15
Visiwa Marquesas na Tuamotus, 10/15
Watu Wasiojiweza Ambao Ni Wahubiri Wenye Uwezo, 11/15
Wenye Kazi za Ustadi Waliopata Kazi ya Maisha (Japani), 5/1
MASIMULIZI JUU YA MAISHA YA WATU
Jinsi Mimi Nilivyoshinda Kutaka Sana Kusifiwa (W. Gray), 11/1
Kupokea Haja za Moyo Wangu’ (P. Wentzel), 7/1
Kijia Kisicho na Mwisho (E. Abbott), 10/1
Niliacha Kwenda Mbinguni (Y. Eto), 9/1
Utumishi wa Painia Ulichangamsha Maisha Yangu (A. Gustavsson), 12/1
Yehova Alibariki Maamuzi Yangu (S. Friend), 8/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Andiko la 2 Yohana 10, 1/15
Daudi Ahatirisha Ahimeleki kwa Kujua? 11/15
Hongo na Bakshishi, 10/1
Inafaa kundi litendeje na Shahidi akijiunga na dini nyingine? 10/15
Je! Yohana 6:53 lahusu wapakwa-mafuta tu? 2/15
Je! kuna tofauti kati ya “kuumba” (creation) na “nadharia ya kuumba” (creationism)? 9/1
Je! Yonathani alipoteza upendeleo wa Mungu alipokula asali? 6/1
Je! yubile ilikuwa kivuli cha miaka 49,000 ya ‘juma la uumbaji’ la Mungu? 1/15
Kubatizwa na watu wawili au zaidi? 11/15
Kwa sababu gani mtoto wa Bath-sheba alikufa? 3/15
Leviathani” (Isaya 27:1), 8/15
Mambo ya kuepuka tunapompelekea Yehova sala, 1/15
“Mkutano mkubwa” (Ufu. 7:9, 14), 8/1
Ni nani waliodai nafasi ya mtu? (Luka 12:20), 7/15
Samsoni alirarua simba, 3/15
Ulafi, 5/1
Waamuzi, wangapi? 6/1
Waasi-imani wanaodai wanaamini Biblia, 4/1
Yehova angewezaje kushughulika moja kwa moja na Shetani (Ayubu), 11/1
Yerusalemu “mtumwa pamoja na watoto wake,” 3/15
Yesu alikula nyumbani kwa Simoni mkoma wakati gani? 2/15
Yesu alimaanisha nini kwa kusema “maji” yangekuwa “chemchemi”? 5/15
Yesu ni “mungu” aliyeumbwa na Yehova? (Isa. 43:10), 7/1
YEHOVA MUNGU
Yule Mungu wa “Agano la Kale”—Je! Yeye ni Mungu wa Upendo, 9/15
YESU KRISTO
Je! Wewe Unatembea Katika Hatua za Mwokozi? 9/1
“Mfuate Sana Hatua Zake,” 9/1
Ufufuo wa Yesu Kristo—Si Hadithi Tu ya Uwongo, 8/15
“Neno Alikuwa Pamoja na Mungu,” 1/15