Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1992
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inaonekana
BIBLIA
Hati-Mkono ya Kiebrania Iliyo Kiolezo, 10/15
Hazina kutoka kwa Marundo ya Takataka ya Misri (Hati-Mkono za Oksirinkus), 2/15
Hujipinga Yenyewe? 7/15
Kutolewa kwa Hati-Kunjo za Baharifu za Mwisho, 1/1
Tafsiri za Afrika, 9/1
Thamani ya Mafunjo ya Nash, 12/15
Vita vya kuendelea Kuwapo kwa Biblia ya Kihispania, 6/15
Zawadi Kutoka kwa Mungu, 5/15
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Faraja Katika Nyakati za Taabu, 7/15
Fuateni Njia ya Upendo Ipitayo Zote, 7/15
‘Je! Nibatizwe?’ 10/1
Je! Wewe Umehesabu Gharama? 8/15
Jifunze Utii kwa Kukubali Nidhamu, 10/1
‘Kuhimiza kwa Msingi wa Upendo,’ 4/15
Kwa Nini Ni Rahisi Sana Kusema Uwongo? 12/15
Mwenye Shughuli Katika Kazi Zisizo Hai au Katika Utumishi wa Yehova? 7/1
“Nirudieni Mimi, Nami Nitawarudia Ninyi,” 8/1
Uwe na Roho ya Kujidhabihu! 2/1
‘Vaeni Suti Kamili ya Silaha,’ 5/15
Wazee—Kabidhini Wengine Kazi! 10/15
Wazee—Warekebisheni Wengine Katika Roho ya Upole, 11/15
Wewe Waweza Kukabiliana na Fadhaiko! 9/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
‘Acha Kuendelea Kwako Kuwe Dhahiri,’ 8/1
Baraka ya Yehova Hutajirisha, 12/1
Elimu Katika Nyakati za Biblia, 11/1
Elimu Yenye Kusudi, 11/1
Endelea Kukesha Katika “Wakati wa Mwisho,” 5/1
Endeleeni Kujengana, 8/15
Fanya Bidii Ili Kuihifadhi Familia Yako Iingie Ndani ya Ulimwengu Mpya wa Mungu, 10/15
Furaha ya Kweli Katika Kumtumikia Yehova, 5/15
Furaha ya Milele Yawangoja Watoaji wa Kimungu, 1/15
Hofuni Yehova na Kulitukuza Jina Lake Takatifu, 1/1
Je! Ndoa Ndiyo Ufunguo wa Pekee wa Kupata Furaha? 5/15
Je! “Utaratibu wa Ulimwengu Mpya” wa Wanadamu U Karibu? 4/15
Je! Utauitikia Upendo wa Yesu? 2/15
Juma Lililobadili Ulimwengu, 3/1
Juya (Wavu) na Samaki Zinamaanisha Nini Kwako? 6/15
Karibisha Akilini Siku ya Yehova, 5/1
Katalia Mbali Fantasia za Kilimwengu, Fuatia Mambo Halisi ya Ufalme, 7/15
Kigezo Chenye Kupuliziwa Roho cha Kazi ya Mishonari ya Kikristo, 9/1
Kristo Aliuchukia Ukosefu wa Kufuata Sheria—Je! Wewe Wauchukia? 7/15
Kukaribisha kwa Shangwe Ulimwengu Mpya wa Mungu Wenye Uhuru, 4/1
Kumpenda Yehova Huchochea Ibada ya Kweli, 1/1
Kutembea kwa Moyo Ulioungamanishwa, 12/15
Kutumia kwa Yehova “Upumbavu” Ili Kuwaokoa Wanaoamini, 9/15
Kutumika Tukiwa Wavuvi wa Watu, 6/15
Kuvua Watu Katika Maji ya Tufe Lote, 6/15
Kuwapo kwa Mesiya na Utawala Wake, 10/1
‘Kwa Jina la Roho Takatifu,’ 2/1
‘Leteni Sehemu ya Kumi Yote Ghalani,’ 12/1
Mpango wa Yehova wa Familia Wenye Upendo, 10/15
Mtumikie Yehova kwa Uaminifu-Mshikamanifu, 11/15
Mwenyeji au Mgeni, Mungu Akukaribisha! 4/15
Nani Atakayeponyoka Ule “Wakati wa Taabu”? 5/1
Ni Lazima Wakristo wa Kweli Wote Wawe Waeneza Evanjeli, 9/1
“Ni Nani Aliye Kama Yehova Mungu Wetu?” 11/15
Roho Takatifu, Zawadi Kutoka kwa Yehova, 2/1
Roho ya Yehova Huwaongoza Watu Wake, 9/15
Siku ya Kukumbuka, 3/1
Simama Imara kwa Ajili ya Uhuru wa Kupewa na Mungu! 3/15
“Tumempata Mesiya”! 10/1
Tumia kwa Hekima Uhuru Wako wa Kikristo, 6/1
Uandalizi wa Yehova, Wale ‘Waliopewa,’ 4/15
Uhuru wa Kupewa na Mungu Waleta Shangwe, 3/15
Uhuru wa Kweli—Kutoka Chanzo Gani? 4/1
Usikose Kusudi la Uhuru wa Kupewa na Mungu, 3/15
Vitumbuizo vya Kijamii—Furahia Manufaa, Epuka Mitego, 8/15
Watu Huru Lakini Wanaotakwa Watoe Hesabu, 6/1
Wazee, Hukumuni kwa Uadilifu, 7/1
Wewe Unapigaje Mbio Katika Lile Shindano la Mbio la Kupata Uhai? 8/1
Yehova, “Hakimu wa Dunia Yote” Asiye na Upendeleo, 7/1
Yehova Husamehe Kwa Njia Kubwa, 9/15
Yehova Huwapenda Watoaji Wachangamfu, 1/15
Yehova, Mfanyi wa Mambo ya Ajabu, 12/15
Yehova Si wa Kulaumiwa, 11/15
Yule Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi, 2/15
MAMBO MENGINE
Aina ya Usalama Unaotamani, 3/1
Dayoklito Ashambulia Ukristo, 6/15
Fidia ya Kubadilishana na Wengi, 6/15
Furiko Katika Hekaya za Ulimwengu, 1/15
Furiko Lisilosahaulika, 1/15
Gospeli Kwa Kweli Ni Nini? 12/15
Gospeli Yaweza Kukunufaishaje? 12/15
Hatua ya Kurudi, 8/15
Jinsi Imani Iwezavyo Kusaidia Wagonjwa, 6/1
Jumuiya ya Wakristo na Ile Biashara ya Kununua na Kuuza Watumwa, 9/1
Justin—Mwanafalsafa, Mteteaji, na Shahidi Mfia-Imani, 3/15
Kile Ufalme wa Mungu Unachomaanisha, 3/15
Kizazi cha 1914—Kwa Nini Ni cha Maana? 5/1
‘Kuendelea Kutwaa Ndani Maarifa Kuhusu Mungu na Yesu,’ 3/1
Kuithamini Zawadi ya Uhai, 8/1
Kusema Katika Ndimi, 8/15
Kuzaliwa Mara ya Pili, 11/15
Kuzipa Sanamu Heshima—Kibishanio, 2/15
Kwa Nini Watu Wazuri Huteseka? 9/15
Kweli Ainabinadamu Inahitaji Mesiya? 10/1
Mababa wa Kimitume Walifundisha Utatu? 2/1
Manabii Wawongo, 2/1
Mavuno ya Jumuiya ya Wakristo Katika Afrika, 9/1
Mesiya—Tumaini la Kweli? 10/1
Mipango Kwa Ajili ya Usalama wa Kimataifa, 3/1
Msalaba—Kifananisho cha Ukristo? 11/15
Mungu Husikiliza Usalipo? 4/15
1914—Mwaka Ulioshtua Ulimwengu, 5/1
Mwanamume Mwenye Elimu (Paulo), 11/1
Ni Nani Aliye na Upendeleo wa Mungu, 12/1
Njiwa Warukao Kwenda Kwenye Nyumba Zao, 7/15
Paulo kwa Kulinganishwa na Plato Juu ya Ufufuo, 5/15
Sanamu Zaweza Kukuleta Karibu Zaidi na Mungu? 2/15
Si Wachuuzi wa Neno la Mungu, 12/1
Taabu ya Familia—Ishara ya Nyakati, 10/15
Tumaini Linaloshinda Kutamauka, 7/1
Ubatizo “Ndani ya Jina la,” 10/15
Uhai—Zawadi Itokayo kwa Mungu, 8/1
Ulimwengu Usio na Dhambi—Jinsi Gani? 11/1
Umwabudu Mungu Yupi? 1/1
Una Imani Kama Ile ya Eliya? 4/1
Uponyaji wa Imani Hukubaliwa na Mungu? 6/1
Utatu—Ulisitawi Wakati Gani na Jinsi Gani? 8/1
Wateteaji-Ukristo Walifundisha Utatu? 4/1
Wewe Huonaje Dhambi? 11/1
MANDHARI KUTOKA BARA LILILOAHIDIWA
Aliandalia Israeli Katika Sinai, 5/1
Genesareti—‘Nzuri Ajabu na Yenye Kupendeza,’ 1/1
Gerasa—Mahali Ambapo Wayahudi na Wagiriki Walikutana, 7/1
Kwenda Shilo—Watoto Wema na Wabaya, 11/1
Kula Mlo—Kula Mkate, 9/1
Zuru Bara, Zuru Kondoo! 3/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
Hospitali ya Kihistoria, Jumba la Ufalme la Aina Yalo (Australia), 8/15
Kitabu Kipya Chawasisimua Mamilioni (Mtu Mkuu Zaidi), 2/15
Kufikia “Namna Zote za Watu” Katika Ubelgiji, 12/15
Kuhubiri Katika Maputo (Msumbiji), 8/15
Kuhubiri Katika Mojawapo Bandari Kubwa Zaidi za Ulimwengu (Uholanzi), 4/15
Kukusanya “Vitu Vinavyothamaniwa” Katika Polandi, 7/15
Kukusanyika Pamoja na Wapendao Uhuru wa Kupewa na Mungu, 1/15
Kung’aa Kama Vimulikaji (Jamhuri ya Afrika ya Kati), 10/1
Kupata Furaha ya Kweli Katika “Paradiso” (Hawaii), 9/15
Kutoa Uelewevu katika Namibia, 11/15
Kuwavuna Waabudu, 1/1
Kweli Yaenea Katika Kijiji Chenye Maji Mengi (Lebanoni), 10/15
Mahakama ya Juu Zaidi ya Naijeria Yaunga Mkono Uhuru wa Kidini, 12/15
“Maji ya Uhai” Yabubujika Katika Kepi Verde, 3/15
Mashahidi wa Yehova—Tengenezo Linalotegemeza Jina (Vidio), 10/1
Ona Lile Ambalo Yehova Ametufanyia! (Ethiopia), 11/1
Tangazo (Usaidizi kwa Baraza Linaloongoza), 4/15
Uaminifu wa Kimaadili wa Kikristo Katika Liberia Yenye Kukumbwa na Vita, 1/1
Uhitimu wa Gileadi, 6/1, 12/1
Utume wa Kupeleka Msaada Ukrainia, 3/15
Visiwa vya Bahari ya Hindi Vyaisikia Habari Njema, 2/15
Wahindi Wagoajiro Waitikia (Kolombia, Venezuela), 5/15
Walikuja Zijapokuwa Hali Zisizopendeza na Hatari, 7/1
Yehova Alitutunza Chini ya Marufuku—Sehemu 1, 4/15
Yehova Alitutunza Chini ya Marufuku—Sehemu 2, 5/1
Yehova Alitutunza Chini ya Marufuku—Sehemu 3, 5/15
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Baada ya Buchenwald Nilipata Kweli (R. Séglat), 6/1
“Fadhili-Upendo Zake Zimethibitika Kuwa Kuu” (J. Vergara Orozco), 2/1
Kuufuatia Mradi Uliowekwa Tangu Umri wa Miaka Sita (S. Cowan), 3/1
Mimi Niliitikia Wakati wa Mavuno (W. Remmie), 7/1
Mtu Aitapo, Je! Wewe Huitikia? (S. Tohara), 11/1
Nilijinyenyekeza Nikapata Furaha (V. Brandolini), 8/1
Njia ya Yehova Ndiyo Njia Bora Zaidi ya Kuishi (E. Kankaanpää), 4/1
Shangwe Ambayo Kumtumikia Yehova Kumeniletea (G. Brumley), 12/1
Yehova Amenitunza Vema (S. Wharerau), 9/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Ayubu pekee ndiye aliyekuwa mwaminifu? (Ayu 1:8), 8/1
Farao alimwoa Sara? 2/1
Farasi wenye pembe moja, 6/1
Kununua vitu vilivyoibwa, 6/15
Kwa nini Noa alimtoa kunguru kisha njiwa? 1/15
Miadhimisho ya Siku ya Kuzaliwa, 9/1
Mitume washuku baada ya Yesu aliyefufuka kutokea? (Mt 28:17), 12/1
Musa, “Kristo”? (Ebr 11:26), 11/15
‘Mwendo wa mtu pamoja na msichana’ wa “ajabu”? (Mit 30:19), 7/1
Ni lazima aliyefanya agano afe? (Ebr 9:16), 3/1
Sehemu za damu katika chakula, 10/15
Yesu alijua kwamba Yohana Mbatizaji angekufa kwanza? (Mt 11:11), 2/15
Zekaria kiziwi na bubu? (Lk 1:62), 4/1
WAPIGA MBIU YA UFALME WARIPOTI
1/1, 2/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 7/1, 8/1, 9/1, 12/1
YEHOVA
Mtu Umjuaye tu au Rafiki? 6/1
“Nirudieni Mimi, Nami Nitawarudia Ninyi,” 8/1
YESU KRISTO
“Uungu wa Kristo,” 1/15