Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1993
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana
BIBLIA
Historia ya Biblia, 6/1
Jiografia ya Biblia, 6/15
Matabiri ya Biblia, 5/15
Mwongozo Ufaao Mwanadamu wa Kisasa, 5/1
Twahitaji Biblia? 5/1
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Humfuata Yehova Kikamili? 5/15
Jinsi Wakristo Wanavyoweza Kuwasaidia Wazee-Wazee, 8/15
Kanuni au Kupendwa na Wengi—Ipi? 10/1
Kuchunga kwa Wororo Kondoo za Yehova Wenye Thamani Kubwa, 7/15
Kujifunza Kungoja, 10/15
Kumpenda Jirani, 9/15
Kuwatunza Waliozeeka, 2/15
Kuweka Jicho Likiwa “Sahili” Katika Kazi ya Ufalme, 12/15
Kwa Nini Uhudhurie Mikutano ya Kikristo? 8/15
Kwa Nini Ukubali Kosa? 11/15
Kwa Nini Umtumikie Yehova? 5/15
Mpaji wa “Kila Zawadi Njema,” 12/1
‘Mtafuteni Yehova, Enyi Nyote Mlio Wanyenyekevu,’ 12/15
Mungu Ndiye Akuzaye—Wewe Hufanya Sehemu Yako? 3/1
Namna ya Kuimarisha Vifungo vya Ndoa, 8/15
Stahi Mahali Pako pa Ibada? 6/15
Tumaini—Ulinzi Muhimu, 4/15
Ufunguo wa Maisha ya Familia Yenye Mafanikio, 10/1
Unafanya Yote Kabisa Uwezayo? 4/15
Utukufu wa Kichwa Chenye Mvi, 3/15
Uwasiliano—Si Maongezi Tu, 8/1
Uwe Mwenye Furaha na Mwenye Utaratibu, 4/1
Uwe na Maoni Yafaayo Juu ya Rehema ya Mungu, 10/1
Wakristo Washike Siku ya Pumziko? 2/15
Wao Huwachunga Kondoo Wadogo kwa Huruma, 9/15
Yehova Huwakumbuka Wagonjwa na Wazee-Wazee, 8/1
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Acha Kujidhibiti Kwako Kuweko na Kufurike, 8/15
“Ee Mungu, Unichunguze,” 10/1
Endelea Kukua Katika Ujuzi, 8/15
“Enendeni Kama Watoto wa Nuru,” 3/1
Familia ya Kikristo Hufanya Mambo Pamoja, 9/1
Familia ya Kikristo Hutanguliza Mambo ya Kiroho, 9/1
Familia ya Kikristo Huwasaidia Wazee-Wazee, 9/1
Fanikiwa Katika Kuepuka Mtego wa Pupa, 8/1
Fuata Nuru ya Ulimwengu, 4/1
Geuzweni Akili na Kutiwa Nuru Katika Moyo, 3/1
Itikia Ahadi za Mungu kwa Kuzoea Imani, 7/15
Iweni Timamu Katika Akili—Mwisho U Karibu, 6/1
Jilinde Dhidi ya Ibada ya Sanamu ya Kila Aina, 1/15
Jilinde na Muziki Usiofaa! 4/15
Kile Ambacho Ujitiisho wa Kimungu Wataka Kwetu, 2/1
Kuangaza Nuru Juu ya Kuwapo kwa Kristo, 5/1
Kuchunga Pamoja na Muumba Mtukufu Wetu, 1/1
Kukombolewa Wakati wa Kufunuliwa kwa Yesu Kristo, 5/1
Kumtumikia Yehova kwa Roho ya Kujidhabihu, 6/1
Kupata Ufunguo wa Shauku ya Kidugu, 10/15
Kushangilia Katika Muumba Mtukufu Wetu, 1/1
Kusitawisha Hofu ya Kimungu, 12/15
Kusitawisha Utu Mpya Katika Ndoa, 2/15
Kutembea kwa Hekima Kuhusiana na Ulimwengu, 7/1
Kwa Nini Kujilinda Dhidi ya Ibada ya Sanamu, 1/15
Kweli Mungu Anakujua? 10/1
Lichungeni Kundi la Mungu kwa Hiari, 5/15
Mfalme Atia Unajisi Patakatifu pa Yehova, 11/1
Mjue Yehova Kupitia Neno Lake, 6/15
Mwe Wenye Moyo Mkuu! 11/15
“Ndoa na Iheshimiwe na Watu Wote,” 2/15
Ni Nani Wanaoifuata Nuru ya Ulimwengu? 4/1
Rehema ya Yehova Hutuokoa Kutoka Katika Hali ya Kukata Tamaa, 3/15
Siku za Kiunabii za Danieli na Imani Yetu, 11/1
Tembeeni Katika Njia za Yehova kwa Moyo Mkuu, 11/15
Tieni Ujitoaji Kimungu Katika Uvumilivu Wenu, 9/15
Tumainia Yehova! 12/15
Tunaweza Kutiaje Wema-Adili Katika Imani Yetu? 7/15
Ujitiisho wa Kimungu—Kwa Nini na Kwa Nani? 2/1
Upendo (Agape)—Usivyo na Ulivyo, 10/15
Ushindi wa Mwisho wa Mikaeli, Yule Mwana-Mfalme Mkuu, 11/1
Usiache Mtu Aharibu Mazoea Yako Yenye Mafaa, 8/1
Utendaji Uliopanuliwa Wakati wa Kuwapo kwa Kristo, 5/1
Uumbaji Husema, ‘Hawana Udhuru,’ 6/15
Uvumilivu—Muhimu kwa Wakristo, 9/15
Vielelezo vya Unyenyekevu vya Kuigwa, 12/1
Vijana—Mnafuatia Nini? 4/15
Wachukuaji Nuru, Kwa Kusudi Gani? 1/15
‘Waite Wazee wa Kundi,’ 5/15
Wakristo na Jamii ya Kibinadamu Leo, 7/1
Wenye Furaha Ni Walio Wanyenyekevu, 12/1
Yehova Hadharau Moyo Uliovunjika, 3/15
MAMBO MENGINE
“Adui wa Mwisho” Atashindwa! 11/15
Batiza! Batiza! Batiza!—Lakini Kwa Nini? 4/1
Bila Wazo la Kuridhiana! (Wakristo wa Mapema), 11/15
Epuka Roho ya Kiburi! 5/15
Fimbo ya Enzi Yenye Umbo la Komamanga, 4/15
Fungu la Mlalamikaji Si Lenye Furaha, 3/15
Helo, 4/15
Hirizi za Bahati Njema, 9/1
Jinsi Jumuiya ya Wakristo Ilivyokuja Kuwa Sehemu ya Ulimwengu Huu, 7/1
Kanisa la Amerika ya Latini Katika Hali ya Kufadhaika, 6/15
Kuiba Kutaisha Wakati Wowote? 10/15
Kukawia Kwafisha! 3/1
Kunyakuliwa Kwenda Mbinguni? 1/15
Kupenda Fedha, 2/15
Misiba ya Asili, 12/1
Mlo wa Jioni wa Bwana, 3/15
Nini Kinachohitajiwa Kukufurahisha? 6/1
Papias Alizithamini Semi za Bwana, 9/15
Picha za Kidini, 4/15
Rahabu—Alitangazwa Kuwa Mwadilifu kwa Kazi za Imani, 12/15
Tumbaku na Makasisi, 2/1
Ubatizwe? 4/1
Ufanisi Waweza Kutahini Imani Yako, 7/15
Uumbaji Mpya Watokezwa! 1/1
Usafishaji wa Duniani Pote, 2/15
Utatu—Hufundishwa Katika Biblia? 10/15
Utiaji-Damu Mishipani Wasifiwa Kupita Kiasi? 10/15
Uzoelevu wa Kileo, 8/15
Wakristo wa Mapema na Ulimwengu, 7/1
Waweza Kuishi Muda Gani? 11/15
Wema Kuushinda Uovu Wakati Wowote? 2/1
MANDHARI KUTOKA BARA LILILOAHIDIWA
Bahari ya Galilaya, 11/1
Beer-sheba, 7/1
Gerizimu, 1/1
Gileadi, 9/1
Shangilia! Mashinikizo Yanafurika kwa Mafuta, 3/1
Sinai—Mlima wa Musa na wa Rehema, 5/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
Alipigania Imani Yake (C. Bazán Listán), 6/15
Dumu Katika Utumishi wa Painia, 9/15
Kuhubiri Katika Bara Lenye Hali Tofauti-Tofauti (Australia), 10/15
Kuhubiri Kijiji kwa Kijiji Katika Uhispania, 11/15
Kuhubiri kwa Uvumilivu Katika Bara la Barafu na Moto, (Iceland), 9/15
Kupata Utajiri wa Kweli Katika Hong Kong, 5/15
Maandalizi ya Kusaidia Huonyesha Upendo wa Kikristo (Urusi, Ukrainia), 2/1
Mahakama ya Juu ya Ulaya Yaunga Mkono Haki ya Kuhubiri Katika Ugiriki, 9/1
Mungu Hasahau “Pendo Lile Mlilodhihirisha” (Ulaya ya Mashariki), 1/1
Shule ya Gileadi—Yenye Umri wa Miaka 50 na Yaendelea Kufanikiwa! 6/1
“Ufundishaji wa Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 2/15
Uhitimu wa Gileadi, 12/1
Uvumbuzi wa Aina Tofauti (Bahamas), 3/15
“Wachukuaji Nuru” Mikusanyiko ya Wilaya, 1/15
Wamishonari wa Mikronesia, 3/1
“Wapiga Mbiu ya Ufalme” Waabiri Yale Maji Mengi ya Guyana, 4/1
Yehova Abadili Nyakati na Majira Katika Romania, 6/15
Yehova Awalinda Watu Wake Katika Hangari, 7/15
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Athawabishwa na “Taji ya Uhai” (F. Franz), 3/15
Kuchapa Fasihi ya Biblia Tukiwa Chini ya Marufuku (M. Vale), 7/1
Kukua Pamoja na Tengenezo la Yehova Katika Afrika Kusini (F. Muller), 4/1
Kutumikia kwa Kuhisi Uharaka (H. van Vuure), 11/1
“Mimi Hapa, Nitume Mimi” (W. John), 5/1
Nashukuru Kwa Ajili ya Utegemezo wa Yehova Usioshindwa (S. Gaskins), 6/1
Nilipata Uradhi Katika Kumtumikia Mungu (J. Thongoana), 2/1
Urithi wa Kikristo Usio wa Kawaida (B. Brandt), 10/1
Yehova Alinitegemeza Katika Gereza la Jangwa (I. Mnwe), 3/1
Yehova, Tumaini Langu Kutoka Ujana na Kuendelea (B. Tsatos), 8/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Droo za kupokea zawadi, 6/15
Kukosa kupata mwenzi, 1/15
Kutoweza kuhudhuria Ukumbusho, 2/1
Melkizedeki “hana [nasaba, NW]”? (Ebr 7:3), 11/15
‘Mwenye zawadi ya roho’ (1Kor 14:37, NW), 10/15
Ni nani “wana wa Mungu” waliokuwa baba za Wanefeli? (Mwa 6:2), 8/1
Paulo kujidhabihu kwa ajili ya Wayahudi? (Ro 9:3), 9/15
Ushiriki biashara pamoja na asiyeamini? 10/1
Wakristo na uchafuzi, 1/1
Wasioamini wanaokufa kabla ya dhiki kubwa, 5/15
WAPIGA MBIU YA UFALME WARIPOTI
2/1, 3/1, 5/1, 7/1, 8/1, 10/1, 11/1
YEHOVA
Jina la Mungu, 12/1
Kufumbua Fumbo la Lile Jina Lililo Kuu Zaidi, 11/1
Matendo ya Yehova ya Kuokoa Sasa, 12/1
Mpaji wa “Kila Zawadi Njema,” 12/1
Muumba Mtukufu Wetu na Kazi Zake, 1/1
Wakristo wa Mapema Walitumia Jina la Mungu? 11/1
Yehova—Mungu wa Kweli na Aliye Hai, 7/15
Yehova Ni Nani? 7/15
YESU KRISTO
Alizaliwa Wakati wa Theluji? 12/15