Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w93 12/15 uku. 31
  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1993

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1993
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1993
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MANDHARI KUTOKA BARA LILILOAHIDIWA
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • WAPIGA MBIU YA UFALME WARIPOTI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1993
w93 12/15 uku. 31

Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1993

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana

BIBLIA

Historia ya Biblia, 6/1

Jiografia ya Biblia, 6/15

Matabiri ya Biblia, 5/15

Mwongozo Ufaao Mwanadamu wa Kisasa, 5/1

Twahitaji Biblia? 5/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Humfuata Yehova Kikamili? 5/15

Jinsi Wakristo Wanavyoweza Kuwasaidia Wazee-Wazee, 8/15

Kanuni au Kupendwa na Wengi—Ipi? 10/1

Kuchunga kwa Wororo Kondoo za Yehova Wenye Thamani Kubwa, 7/15

Kujifunza Kungoja, 10/15

Kumpenda Jirani, 9/15

Kuwatunza Waliozeeka, 2/15

Kuweka Jicho Likiwa “Sahili” Katika Kazi ya Ufalme, 12/15

Kwa Nini Uhudhurie Mikutano ya Kikristo? 8/15

Kwa Nini Ukubali Kosa? 11/15

Kwa Nini Umtumikie Yehova? 5/15

Mpaji wa “Kila Zawadi Njema,” 12/1

‘Mtafuteni Yehova, Enyi Nyote Mlio Wanyenyekevu,’ 12/15

Mungu Ndiye Akuzaye—Wewe Hufanya Sehemu Yako? 3/1

Namna ya Kuimarisha Vifungo vya Ndoa, 8/15

Stahi Mahali Pako pa Ibada? 6/15

Tumaini—Ulinzi Muhimu, 4/15

Ufunguo wa Maisha ya Familia Yenye Mafanikio, 10/1

Unafanya Yote Kabisa Uwezayo? 4/15

Utukufu wa Kichwa Chenye Mvi, 3/15

Uwasiliano—Si Maongezi Tu, 8/1

Uwe Mwenye Furaha na Mwenye Utaratibu, 4/1

Uwe na Maoni Yafaayo Juu ya Rehema ya Mungu, 10/1

Wakristo Washike Siku ya Pumziko? 2/15

Wao Huwachunga Kondoo Wadogo kwa Huruma, 9/15

Yehova Huwakumbuka Wagonjwa na Wazee-Wazee, 8/1

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Acha Kujidhibiti Kwako Kuweko na Kufurike, 8/15

“Ee Mungu, Unichunguze,” 10/1

Endelea Kukua Katika Ujuzi, 8/15

“Enendeni Kama Watoto wa Nuru,” 3/1

Familia ya Kikristo Hufanya Mambo Pamoja, 9/1

Familia ya Kikristo Hutanguliza Mambo ya Kiroho, 9/1

Familia ya Kikristo Huwasaidia Wazee-Wazee, 9/1

Fanikiwa Katika Kuepuka Mtego wa Pupa, 8/1

Fuata Nuru ya Ulimwengu, 4/1

Geuzweni Akili na Kutiwa Nuru Katika Moyo, 3/1

Itikia Ahadi za Mungu kwa Kuzoea Imani, 7/15

Iweni Timamu Katika Akili—Mwisho U Karibu, 6/1

Jilinde Dhidi ya Ibada ya Sanamu ya Kila Aina, 1/15

Jilinde na Muziki Usiofaa! 4/15

Kile Ambacho Ujitiisho wa Kimungu Wataka Kwetu, 2/1

Kuangaza Nuru Juu ya Kuwapo kwa Kristo, 5/1

Kuchunga Pamoja na Muumba Mtukufu Wetu, 1/1

Kukombolewa Wakati wa Kufunuliwa kwa Yesu Kristo, 5/1

Kumtumikia Yehova kwa Roho ya Kujidhabihu, 6/1

Kupata Ufunguo wa Shauku ya Kidugu, 10/15

Kushangilia Katika Muumba Mtukufu Wetu, 1/1

Kusitawisha Hofu ya Kimungu, 12/15

Kusitawisha Utu Mpya Katika Ndoa, 2/15

Kutembea kwa Hekima Kuhusiana na Ulimwengu, 7/1

Kwa Nini Kujilinda Dhidi ya Ibada ya Sanamu, 1/15

Kweli Mungu Anakujua? 10/1

Lichungeni Kundi la Mungu kwa Hiari, 5/15

Mfalme Atia Unajisi Patakatifu pa Yehova, 11/1

Mjue Yehova Kupitia Neno Lake, 6/15

Mwe Wenye Moyo Mkuu! 11/15

“Ndoa na Iheshimiwe na Watu Wote,” 2/15

Ni Nani Wanaoifuata Nuru ya Ulimwengu? 4/1

Rehema ya Yehova Hutuokoa Kutoka Katika Hali ya Kukata Tamaa, 3/15

Siku za Kiunabii za Danieli na Imani Yetu, 11/1

Tembeeni Katika Njia za Yehova kwa Moyo Mkuu, 11/15

Tieni Ujitoaji Kimungu Katika Uvumilivu Wenu, 9/15

Tumainia Yehova! 12/15

Tunaweza Kutiaje Wema-Adili Katika Imani Yetu? 7/15

Ujitiisho wa Kimungu—Kwa Nini na Kwa Nani? 2/1

Upendo (Agape)—Usivyo na Ulivyo, 10/15

Ushindi wa Mwisho wa Mikaeli, Yule Mwana-Mfalme Mkuu, 11/1

Usiache Mtu Aharibu Mazoea Yako Yenye Mafaa, 8/1

Utendaji Uliopanuliwa Wakati wa Kuwapo kwa Kristo, 5/1

Uumbaji Husema, ‘Hawana Udhuru,’ 6/15

Uvumilivu—Muhimu kwa Wakristo, 9/15

Vielelezo vya Unyenyekevu vya Kuigwa, 12/1

Vijana—Mnafuatia Nini? 4/15

Wachukuaji Nuru, Kwa Kusudi Gani? 1/15

‘Waite Wazee wa Kundi,’ 5/15

Wakristo na Jamii ya Kibinadamu Leo, 7/1

Wenye Furaha Ni Walio Wanyenyekevu, 12/1

Yehova Hadharau Moyo Uliovunjika, 3/15

MAMBO MENGINE

“Adui wa Mwisho” Atashindwa! 11/15

Batiza! Batiza! Batiza!—Lakini Kwa Nini? 4/1

Bila Wazo la Kuridhiana! (Wakristo wa Mapema), 11/15

Epuka Roho ya Kiburi! 5/15

Fimbo ya Enzi Yenye Umbo la Komamanga, 4/15

Fungu la Mlalamikaji Si Lenye Furaha, 3/15

Helo, 4/15

Hirizi za Bahati Njema, 9/1

Jinsi Jumuiya ya Wakristo Ilivyokuja Kuwa Sehemu ya Ulimwengu Huu, 7/1

Kanisa la Amerika ya Latini Katika Hali ya Kufadhaika, 6/15

Kuiba Kutaisha Wakati Wowote? 10/15

Kukawia Kwafisha! 3/1

Kunyakuliwa Kwenda Mbinguni? 1/15

Kupenda Fedha, 2/15

Misiba ya Asili, 12/1

Mlo wa Jioni wa Bwana, 3/15

Nini Kinachohitajiwa Kukufurahisha? 6/1

Papias Alizithamini Semi za Bwana, 9/15

Picha za Kidini, 4/15

Rahabu—Alitangazwa Kuwa Mwadilifu kwa Kazi za Imani, 12/15

Tumbaku na Makasisi, 2/1

Ubatizwe? 4/1

Ufanisi Waweza Kutahini Imani Yako, 7/15

Uumbaji Mpya Watokezwa! 1/1

Usafishaji wa Duniani Pote, 2/15

Utatu—Hufundishwa Katika Biblia? 10/15

Utiaji-Damu Mishipani Wasifiwa Kupita Kiasi? 10/15

Uzoelevu wa Kileo, 8/15

Wakristo wa Mapema na Ulimwengu, 7/1

Waweza Kuishi Muda Gani? 11/15

Wema Kuushinda Uovu Wakati Wowote? 2/1

MANDHARI KUTOKA BARA LILILOAHIDIWA

Bahari ya Galilaya, 11/1

Beer-sheba, 7/1

Gerizimu, 1/1

Gileadi, 9/1

Shangilia! Mashinikizo Yanafurika kwa Mafuta, 3/1

Sinai—Mlima wa Musa na wa Rehema, 5/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Alipigania Imani Yake (C. Bazán Listán), 6/15

Dumu Katika Utumishi wa Painia, 9/15

Kuhubiri Katika Bara Lenye Hali Tofauti-Tofauti (Australia), 10/15

Kuhubiri Kijiji kwa Kijiji Katika Uhispania, 11/15

Kuhubiri kwa Uvumilivu Katika Bara la Barafu na Moto, (Iceland), 9/15

Kupata Utajiri wa Kweli Katika Hong Kong, 5/15

Maandalizi ya Kusaidia Huonyesha Upendo wa Kikristo (Urusi, Ukrainia), 2/1

Mahakama ya Juu ya Ulaya Yaunga Mkono Haki ya Kuhubiri Katika Ugiriki, 9/1

Mungu Hasahau “Pendo Lile Mlilodhihirisha” (Ulaya ya Mashariki), 1/1

Shule ya Gileadi—Yenye Umri wa Miaka 50 na Yaendelea Kufanikiwa! 6/1

“Ufundishaji wa Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 2/15

Uhitimu wa Gileadi, 12/1

Uvumbuzi wa Aina Tofauti (Bahamas), 3/15

“Wachukuaji Nuru” Mikusanyiko ya Wilaya, 1/15

Wamishonari wa Mikronesia, 3/1

“Wapiga Mbiu ya Ufalme” Waabiri Yale Maji Mengi ya Guyana, 4/1

Yehova Abadili Nyakati na Majira Katika Romania, 6/15

Yehova Awalinda Watu Wake Katika Hangari, 7/15

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

Athawabishwa na “Taji ya Uhai” (F. Franz), 3/15

Kuchapa Fasihi ya Biblia Tukiwa Chini ya Marufuku (M. Vale), 7/1

Kukua Pamoja na Tengenezo la Yehova Katika Afrika Kusini (F. Muller), 4/1

Kutumikia kwa Kuhisi Uharaka (H. van Vuure), 11/1

“Mimi Hapa, Nitume Mimi” (W. John), 5/1

Nashukuru Kwa Ajili ya Utegemezo wa Yehova Usioshindwa (S. Gaskins), 6/1

Nilipata Uradhi Katika Kumtumikia Mungu (J. Thongoana), 2/1

Urithi wa Kikristo Usio wa Kawaida (B. Brandt), 10/1

Yehova Alinitegemeza Katika Gereza la Jangwa (I. Mnwe), 3/1

Yehova, Tumaini Langu Kutoka Ujana na Kuendelea (B. Tsatos), 8/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Droo za kupokea zawadi, 6/15

Kukosa kupata mwenzi, 1/15

Kutoweza kuhudhuria Ukumbusho, 2/1

Melkizedeki “hana [nasaba, NW]”? (Ebr 7:3), 11/15

‘Mwenye zawadi ya roho’ (1Kor 14:37, NW), 10/15

Ni nani “wana wa Mungu” waliokuwa baba za Wanefeli? (Mwa 6:2), 8/1

Paulo kujidhabihu kwa ajili ya Wayahudi? (Ro 9:3), 9/15

Ushiriki biashara pamoja na asiyeamini? 10/1

Wakristo na uchafuzi, 1/1

Wasioamini wanaokufa kabla ya dhiki kubwa, 5/15

WAPIGA MBIU YA UFALME WARIPOTI

2/1, 3/1, 5/1, 7/1, 8/1, 10/1, 11/1

YEHOVA

Jina la Mungu, 12/1

Kufumbua Fumbo la Lile Jina Lililo Kuu Zaidi, 11/1

Matendo ya Yehova ya Kuokoa Sasa, 12/1

Mpaji wa “Kila Zawadi Njema,” 12/1

Muumba Mtukufu Wetu na Kazi Zake, 1/1

Wakristo wa Mapema Walitumia Jina la Mungu? 11/1

Yehova—Mungu wa Kweli na Aliye Hai, 7/15

Yehova Ni Nani? 7/15

YESU KRISTO

Alizaliwa Wakati wa Theluji? 12/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki