Ratiba ya Juma Lonaloanza Oktoba 5
JUMA LINALOANZA OKTOBA 5
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 1-3
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 2:1-15
Na. 2: “Agano Jipya” Husema Nini Kuhusu Uzima wa Milele Duniani? (rs uku. 201 ¶1–uku. 202 ¶2)
Na. 3: Ni Nani Watakaofufuliwa? Nao Wataishi Wapi? (lr sura ya 36)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Je, Ungependa Kujua Ukweli? Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Waombe wasikilizaji wataje ni maswali gani katika trakti hii ambayo yamekuwa na matokeo zaidi katika eneo lenu. Panga onyesho kuhusu jinsi trakti hii inavyoweza kutumiwa kuanzisha funzo la Biblia.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Wahubirie Watu Wanaozungumza Lugha Nyingine. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Pitia hatua tatu ambazo zimetajwa kwenye ukurasa wa 2 wa kijitabu Good News for People of All Nations, na upange onyesho kuhusu jinsi kijitabu hicho kinavyoweza kutumiwa katika eneo lenu. Katika makutaniko ambako hakuna watu wanaozungumza lugha ya kigeni katika eneo lao, kazia uhitaji wa kuwafikia wote katika eneo. Ona kitabu Tengenezo ukurasa wa 103, fungu la 1, hadi ukurasa wa 104, fungu la 1.