Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb24 Januari kur. 3-16
  • Januari 8-14

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Januari 8-14
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
mwb24 Januari kur. 3-16

JANUARI 8-14

AYUBU 34-35

Wimbo 30 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Inapoonekana Hakuna Haki Maishani

(Dak. 10)

Kumbuka Yehova si Chanzo cha ukosefu wa haki (Ayu 34:10; wp19.1 8 ¶2)

Huenda ikaonekana waovu hawapatwi na madhara ya matendo yao ya ukosefu wa haki; hata hivyo, hawawezi kujificha kutoka kwa Yehova (Ayu 34:​21-26; w17.04 10 ¶5)

Njia bora ya kuwasaidia waathiriwa wa ukosefu wa haki ni kuwafundisha kumhusu Yehova (Ayu 35:​9, 10; Mt 28:​19, 20; w21.05 7 ¶19-20)

Wenzi wa ndoa wakimhubiria mwanamume na mwana wake wanaoishi katika eneo maskini ambalo liko karibu na majengo ya kifahari.

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Ayu 35:7—Elihu alimaanisha nini alipomuuliza Ayubu: “[Mungu] anapokea nini kutoka kwako?” (w17.04 29 ¶3)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Ayu 35:​1-16 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwalike ajifunze Biblia. (lmd somo la 10 jambo kuu la 3)

5. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mwonyeshe mtu ambaye ana watoto wadogo jinsi ya kupata habari inayotoa msaada kwa ajili ya wazazi kwenye jw.org. (lmd somo la 1 jambo kuu la 4)

6. Kufanya Wanafunzi

(Dak. 5) lff somo la 13 jambo kuu la 5 (lmd somo la 11 jambo kuu la 3)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 58

7. Je, Unachochewa ‘Kulihubiri Neno’ Isivyo Rasmi?

(Dak. 15) Mazungumzo.

Dada akitumia simu kumhubiri mwanamke kwenye basi.

Paulo alimhimiza Timotheo: “Lihubiri neno; fanya hivyo kwa uharaka” (2Ti 4:2) Kitenzi cha Kigiriki kinachotafsiriwa “fanya hivyo kwa uharaka” nyakati nyingine lilitumiwa katika jeshi kumrejelea mwanajeshi au mlinzi aliyekuwa kwenye kituo chake akiwa tayari nyakati zote kwa ajili ya pambano. Maneno hayo yanafafanua vizuri tamaa yetu ya kuwa macho nyakati zote kuona nafasi za kubadili mazungumzo ya kawaida kuwa nafasi ya kutoa ushahidi.

Upendo wetu kwa Yehova na uthamini wetu kwa yote anayotufanyia unatuchochea kuwaeleza wengine kuhusu sifa zake maridadi.

Soma Zaburi 71:8. Kisha uwaulize wasikilizaji:

Unapenda kuwaeleza watu mambo gani mazuri kumhusu Yehova?

Upendo wetu kwa watu unatuchochea pia kuhubiri isivyo rasmi.

Onyesha VIDEO Jinsi Mamia ya Watu Walivyoipata Kweli ya Biblia. Kisha uwaulize wasikilizaji:

  • Kutoa ushahidi isivyo rasmi kuliwasaidiaje mamia ya watu kupata kweli za Biblia?

  • Watu hao ambao zamani walikuwa washiriki wa kanisa walinufaikaje kwa kujifunza kweli?

  • Kuwapenda watu kunatuchocheaje kuhubiri isivyo rasmi?

  • Kwa nini unafikiri kuhubiri isivyo rasmi ni njia yenye matokeo sana ya kuwasaidia wengine kumjua Yehova?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 4 sanduku uk. 33

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 138 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki