Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb24 Januari kur. 6-7
  • Januari 22-28

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Januari 22-28
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
mwb24 Januari kur. 6-7

JANUARI 22-28

AYUBU 38-39

Wimbo 11 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Je, Unatenga Wakati Kuchunguza Uumbaji?

(Dak. 10)

Baada ya kukamilisha uumbaji, Yehova alitumia muda kutafakari kazi aliyokuwa amefanya (Mwa 1:​10, 12; Ayu 38:​5, 6; w21.08 9 ¶7)

Malaika walitumia muda kuchunguza uumbaji wa Yehova (Ayu 38:7; w20.08 14 ¶2)

Tunaweza kuimarisha imani yetu katika Yehova tunapotenga wakati kuchunguza na kutafakari uumbaji (Ayu 38:​32-35; w23.03 17 ¶8)

Mama na binti yake wakimtazama kipepeo nje ya nyumba yao wakiwa na furaha.

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Ayu 38:​8-10—Mistari hii inatufundisha nini kumhusu Yehova akiwa Mpaji-sheria wetu? (it-2 222)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Ayu 39:​1-22 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Malizia mazungumzo kwa njia nzuri unapotambua kwamba mtu huyo hataki kuzungumza. (lmd somo la 2 jambo kuu la 3)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 5) NYUMBA KWA NYUMBA. Katika ziara iliyotangulia, mtu huyo alikuambia alifiwa na mpendwa wake hivi karibuni. (lmd somo la 9 jambo kuu la 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) lmd nyongeza A jambo kuu la 1—Kichwa: Matukio Tunayoona na Jinsi Watu Wanavyojiendesha Ni Ishara ya Kwamba Hivi Karibuni Hali Zitabadilika. (th somo la 16)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 111

7. Kuchunguza Uumbaji Kunatusaidia Kukumbuka Masuala Muhimu

(Dak. 15) Mazungumzo.

Ayubu akitafakari baadhi ya wanyama wenye kustaajabisha ambao Yehova aliumba kutia ndani kiboko, korongo, mbuni, mamba, tai, farasi, na fahali mwitu. Dhoruba inaanza, na Elihu na wafariji bandia ameketi karibu.

Ayubu aliposhambuliwa na marafiki wake watatu na Shetani, alifikiria kupita kiasi matatizo yake na maneno yasiyofaa aliyoambiwa.

Soma Ayubu 37:14. Kisha uwaulize wasikilizaji:

Ayubu alihitaji kufanya nini ili kupata tena usawaziko wake wa kiroho?

Tunapohisi tumelemewa na matatizo yetu, kuchunguza uumbaji kunaweza kutusaidia kukumbuka ukuu wa Yehova, kuimarisha tamaa yetu ya kuendelea kuwa washikamanifu kwake, na kuimarisha uhakika wetu katika uwezo wake wa kututunza.—Mt 6:26.

Onyesha VIDEO Mambo Tunayojifunza Kutokana na Kitabu cha Ayubu—Wanyama. Kisha uwaulize wasikilizaji:

Video hiyo imeimarishaje imani yako katika Yehova?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 4 ¶13-20

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 54 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki