22 Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa akitawala Yudea baada ya Herode baba yake, akaogopa kwenda huko. Zaidi ya hayo, alionywa na Mungu kupitia ndoto,+ basi akaenda katika eneo la Galilaya.+
22 Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa akitawala akiwa mfalme wa Yudea badala ya Herode baba yake, akaogopa kuondoka kwenda huko. Zaidi ya hayo, kwa kuwa alipewa onyo la kimungu katika ndoto,+ akaondoka, akaingia eneo la Galilaya,+