24 Na habari kumhusu zikaenea katika Siria yote, nao wakamletea wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na walioteseka,+ wenye roho waovu+ na wenye kifafa+ na watu waliopooza, naye akawaponya.
24 Na habari juu yake ikaenea katika Siria+ yote; nao wakamletea wote waliokuwa na hali mbaya,+ waliokuwa wakitaabishwa na magonjwa na kuteswa kwa namna mbalimbali, wenye roho waovu na wenye kifafa+ na watu waliopooza, naye akawaponya.