Mathayo 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na utoe zawadi ambayo Musa aliagiza,+ ili kuwa ushahidi kwao.” Mathayo 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa zawadi+ ambayo Musa aliagiza, ili iwe ushahidi kwao.” Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:4 Yesu—Njia, uku. 65 Mnara wa Mlinzi,4/15/1986, uku. 9
4 Kisha Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na utoe zawadi ambayo Musa aliagiza,+ ili kuwa ushahidi kwao.”
4 Ndipo Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na kutoa zawadi+ ambayo Musa aliagiza, ili iwe ushahidi kwao.”