Mathayo 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini Mafarisayo walipoona hivyo wakawauliza wanafunzi wake: “Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi?”+ Mathayo 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mafarisayo walipoona hilo wakaanza kuwaambia wanafunzi wake: “Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+ Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:11 Mnara wa Mlinzi (Funzo),11/2017, kur. 16-17
11 Lakini Mafarisayo walipoona hivyo wakawauliza wanafunzi wake: “Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi?”+
11 Mafarisayo walipoona hilo wakaanza kuwaambia wanafunzi wake: “Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+