Mathayo 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Huyu ndiye ambaye imeandikwa hivi kumhusu: ‘Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu mbele yako,* ili akutayarishie njia mbele yako!’+ Mathayo 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Huyu ndiye ambaye imeandikwa hivi kumhusu, ‘Tazama! Mimi mwenyewe ninamtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye atatayarisha njia yako mbele yako!’+ Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:10 Yesu—Njia, uku. 96 “Kila Andiko,” uku. 173 Mnara wa Mlinzi,6/15/1987, uku. 101/1/1987, uku. 17
10 Huyu ndiye ambaye imeandikwa hivi kumhusu: ‘Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu mbele yako,* ili akutayarishie njia mbele yako!’+
10 Huyu ndiye ambaye imeandikwa hivi kumhusu, ‘Tazama! Mimi mwenyewe ninamtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye atatayarisha njia yako mbele yako!’+