21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida! kwa sababu kama matendo yenye nguvu yaliyofanywa kwenu yangefanywa huko Tiro na Sidoni, watu wa majiji hayo wangekuwa wametubu zamani katika nguo za magunia na katika majivu.+
21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zingalifanyika katika Tiro na Sidoni ambazo zilifanyika ndani yenu, wangalitubu zamani za kale katika nguo ya gunia na majivu.+