19 Akaona mtini kando ya barabara, akaukaribia lakini hakupata chochote ila majani tu,+ akauambia: “Usizae matunda tena kamwe.”+ Mara moja ule mtini ukanyauka.
19 Naye akaona mtini kando ya barabara na kuuendea, lakini hakukuta kitu+ juu yake ila majani tu, naye akauambia: “Usizae matunda yoyote tena kamwe, milele.”+ Nao mtini ukanyauka mara moja.