-
Mathayo 21:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Kati ya hao wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya baba yake?” Wakasema: “Yule wa kwanza.” Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia wakusanya kodi na makahaba wanawatangulia ninyi kuingia katika Ufalme wa Mungu.
-