-
Mathayo 21:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Kati ya hao wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya baba yake?” Wakasema: “Yule wa kwanza.” Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia wakusanya kodi na makahaba wanawatangulia ninyi kuingia katika Ufalme wa Mungu.
-
-
Mathayo 21:31Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
31 Ni yupi wa hao wawili aliyefanya mapenzi ya baba yake?” Wakasema: “Huyo wa mwisho.” Yesu akawaambia: “Kwa kweli nawaambia nyinyi kwamba wakusanya-kodi na makahaba wanaenda mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
-