45 Hata hivyo, baada ya kuondoka, mtu huyo akaanza kueneza habari hizo kila mahali, hivi kwamba Yesu hakuweza kuingia katika jiji lolote waziwazi, bali alikaa nje mahali pasipo na watu. Lakini watu walizidi kumjia kutoka kila upande.+
45 Lakini baada ya kwenda zake mtu huyo akaanza kutangaza sana juu ya hilo na kusambaza jambo hilo kotekote, hivi kwamba Yesu hakuweza tena kuingia waziwazi katika jiji, lakini akakaa nje katika mahali pasipo na watu. Na bado wakaendelea kumjia kutoka pande zote.+