4 Lakini kwa sababu ya umati, hawakuweza kumleta moja kwa moja kwa Yesu, basi baada ya kutoboa sehemu ya paa lililokuwa juu ya Yesu, wakamteremsha yule mtu aliyepooza, akiwa amelala juu ya kitanda.*
4 Lakini kwa kutoweza kumleta moja kwa moja mpaka alipokuwa Yesu kwa sababu ya umati, wakaiondoa paa juu ya mahali alipokuwa, na baada ya kutoboa tundu wakakiteremsha kitanda ambacho juu yake yule mwenye kupooza alikuwa amelala.+