15 Baadaye alipokuwa akila* katika nyumba ya Lawi, wakusanya kodi wengi na watenda dhambi walikuwa wakila* pamoja na Yesu na wanafunzi wake, kwa maana wengi wao walikuwa wakimfuata.+
15 Baadaye akawa ameketi mezani, nyumbani kwake, na wakusanya-kodi+ wengi na watenda-dhambi walikuwa wameketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake, kwa maana walikuwa wengi nao wakaanza kumfuata.+