17 Kwa maana Herode alikuwa ameagiza Yohana akamatwe na kufungwa gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo ndugu yake. Kwa sababu Herode alikuwa amemwoa.+
17 Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu wakamkamata Yohana na kumfunga gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake, kwa sababu Herode alikuwa amemwoa.+