27 Yesu na wanafunzi wake wakaelekea kwenye vijiji vya Kaisaria Filipi, na wakiwa njiani, Yesu akaanza kuwauliza wanafunzi wake: “Watu wanasema mimi ni nani?”+
27 Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda vijiji vya Kaisaria Filipi, na njiani akaanza kuwauliza wanafunzi wake, akisema: “Watu wanasema mimi ni nani?”+