43 Na mara moja, alipokuwa bado akizungumza, Yuda, mmoja wa wale 12, akafika pamoja na umati wenye mapanga na marungu, walikuwa wametumwa na wakuu wa makuhani, waandishi, na wazee.+
43 Na mara moja, alipokuwa bado akisema, Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati ukiwa na mapanga na marungu kutoka kwa wakuu wa makuhani na waandishi na wanaume wazee.+