36 Kisha mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka kwenye utete, akampa anywe,+ akisema: “Mwacheni! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”
36 Lakini mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka juu ya utete, na kuanza kumnywesha,+ akisema: “Acheni iwe hivyo kwake! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”+