Luka 1:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 “Asifiwe Yehova* Mungu wa Israeli,+ kwa sababu amewakumbuka watu wake na kuwaletea ukombozi.+ Luka 1:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+ 1. Nuru ya Kweli ya Ulimwengu Habari Njema Kulingana na Yesu—Mwongozo wa Marejeo ya Video Unabii wa Zekaria (gnj 1 27:15–30:56)
68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+