25 Na tazama! kulikuwa na mtu fulani Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, alikuwa mwadilifu na alimwogopa Mungu, naye alikuwa akisubiri faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.
25 Na, tazama! palikuwa na mtu mmoja katika Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, na mtu huyo alikuwa mwadilifu na mwenye kumheshimu Mungu, akingojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.