14 Mbegu zilizoanguka kwenye miiba, ni wale ambao wamesikia, lakini wanakengeushwa na mahangaiko, utajiri,+ na raha za maisha.+ Wao husongwa kabisa na hawakomai.+
14 Nazo zile zilizoanguka katikati ya miiba, hawa ndio ambao wamesikia, lakini, kwa kuchukuliwa na mahangaiko na utajiri na raha+ za maisha haya, wao husongwa kabisa na hawatimizi chochote.+