22 Hata hivyo, alipofufuliwa kutoka kwa wafu, wanafunzi wake wakakumbuka alikuwa akisema jambo hilo,+ nao wakaamini andiko na maneno ambayo Yesu alikuwa amesema.
22 Ingawa hivyo, wakati alipofufuliwa kutoka kwa wafu, wanafunzi wake wakakumbuka+ kwamba alikuwa akisema hilo; nao wakaamini Andiko na maneno ambayo Yesu alisema.