6 Kisima cha Yakobo kilikuwa hapo.+ Basi Yesu, kwa kuwa alikuwa amechoka kwa sababu ya safari, akaketi kando ya kisima hicho.* Ilikuwa karibu saa sita.*
6 Kwa kweli, chemchemi+ ya Yakobo ilikuwa hapo. Basi Yesu, kwa kuwa alikuwa amechoka kwa sababu ya safari hiyo, alikuwa ameketi kando ya chemchemi kama vile alivyokuwa. Ilikuwa karibu saa sita.