26 Yesu akajibu: “Ni yule ambaye nitampa kipande cha mkate ninachochovya.”+ Basi, akachovya kipande cha mkate, kisha akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskariote.
26 Kwa hiyo Yesu akajibu: “Ni yule ambaye nitampa tonge ambalo ninachovya.”+ Na kwa hiyo, akiisha kuchovya tonge, akalichukua na kumpa Yuda, mwana wa Simoni Iskariote.