-
Yohana 18:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Sasa wale watumwa na maofisa walikuwa wamesimama kuzunguka moto wa makaa waliokuwa wameuwasha, kwa sababu kulikuwa na baridi nao walikuwa wakiota moto. Petro pia alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
-