25 nawe ulisema kupitia roho takatifu kwa kinywa cha babu yetu Daudi,+ mtumishi wako: ‘Kwa nini mataifa yalikuwa na msukosuko na watu wakatafakari mambo matupu?
25 na ambaye kupitia roho takatifu ulisema kwa kinywa cha babu yetu Daudi,+ mtumishi wako, ‘Kwa nini mataifa yakawa yenye fujo na vikundi vya watu vikatafakari juu ya mambo matupu?+