6 Lakini walipoendelea kumpinga na kumtukana, akayakung’uta mavazi yake+ na kuwaambia: “Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe.+ Mimi ni safi.+ Kuanzia sasa nitaenda kwa watu wa mataifa.”+
6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+