-
Matendo 18:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Lakini baada ya wao kufuliza kupinga na kusema kwa maneno yenye kuudhi, akakung’uta mavazi yake na kuwaambia: “Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi. Tangu sasa na kuendelea hakika nitaenda kwa watu wa mataifa.”
-