6 Sasa Paulo, akijua kwamba sehemu moja ilikuwa Masadukayo na nyingine Mafarisayo, akasema kwa sauti kubwa katika Sanhedrini: “Wanaume, akina ndugu, mimi ni Farisayo,+ mwana wa Mafarisayo. Ninahukumiwa kwa sababu ya tumaini la ufufuo wa wafu.”
6 Sasa Paulo alipojua kwamba sehemu moja ilikuwa ya Masadukayo+ lakini ile nyingine ya Mafarisayo, akapaaza sauti katika Sanhedrini hiyo: “Wanaume, akina ndugu, mimi ni Farisayo,+ mwana wa Mafarisayo. Ninahukumiwa+ juu ya tumaini la ufufuo+ wa wafu.”